Ng'ombe hazeeki maini bana........................
akitafuta mapoozeo atanogewa bure bora nusu shari kuliko shari zima.Wee I am a chair usikae kwenye kikao na mzee wako...lol mwache ajitafutie mapoozeo
Natafuta ule uzi wa kukupaisha. Jana nilipanda trekta kwenda Kisongo nikashindwa kuchangia...
Mkuu angalia mama ngina akirudi asije kupima ujazo wa naniliu akakuta hamna kitu.... Ndipo utakapokuwa mdogo kama piriton@miaNg'ombe hazeeki maini bana........................
Nitamwambia kuwa nilikuwa napata wet dream kwa kumuwaza usiku kucha na ndio maana ujazo wa kikombe umepungua.....................ataelewa tu somoMkuu angalia mama ngina akirudi asije kupima ujazo wa naniliu akakuta hamna kitu.... Ndipo utakapokuwa mdogo kama piriton@mia
Ndugu yangu hii ya sasa wala co ya kupeleka polic wala kwa mjumbe,hapa tunahiji maombi tu maana km ni hila zimeshapitiliza haya ni mapepo!huna mchungaji wa ukweli atakaeweza kudeal na hili tatizo?maana kitakachofata ni aibu tu hapa jaman lol!