MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Suala la muswada wa marekebisho ya sheria ya katiba ya mwaka 2011, kidogo liingize nchi katika machafuko. Watu walirushiana maneno, vitisho, na ubabe mwingi ulishuhudiwa bungeni na nje ya bunge.
Hatimae Mheshimiwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kwa busara ambazo hasa ndio zinazo mpa wadhifa alionao, bila kujali maslahi ya chama au kile wazungu wanacho kiita "Rhetoric" za wabunge wa chama tawala, raisi amesikiliza mawazo ya vyama vya upinzani na Taasisi nyingine, hata kufikia bubadilisha maamuzi yake mwenyewe maana alisha tia saini, na kulazimisha muswada usomwe kwa mara ya pili, kama taifa lilivyokua linataka.
Mpaka wabunge wengine wakafika mbali sana kutaka kumpigia Mtukufu Raisi, kura ya kutokua na imani nae, sijui kwa maslahi ya nani kwa maamuzi aliochukua Raisi.
Any way hilo lina onyesha ugumu wa maamuzi alio chukua Raisi. Wadhungu wanasema, " A WISE MAN , CHANGES HIS MIND SOME TIMES".
SASA MPENI RAISI HESHIMA YAKE NA HADHI YAKE KWA HILI.
Hatimae Mheshimiwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kwa busara ambazo hasa ndio zinazo mpa wadhifa alionao, bila kujali maslahi ya chama au kile wazungu wanacho kiita "Rhetoric" za wabunge wa chama tawala, raisi amesikiliza mawazo ya vyama vya upinzani na Taasisi nyingine, hata kufikia bubadilisha maamuzi yake mwenyewe maana alisha tia saini, na kulazimisha muswada usomwe kwa mara ya pili, kama taifa lilivyokua linataka.
Mpaka wabunge wengine wakafika mbali sana kutaka kumpigia Mtukufu Raisi, kura ya kutokua na imani nae, sijui kwa maslahi ya nani kwa maamuzi aliochukua Raisi.
Any way hilo lina onyesha ugumu wa maamuzi alio chukua Raisi. Wadhungu wanasema, " A WISE MAN , CHANGES HIS MIND SOME TIMES".
SASA MPENI RAISI HESHIMA YAKE NA HADHI YAKE KWA HILI.