Yeah kabisa. Nostalgia is very powerfulYeah man, sometimes mie mwenyewe nikikumbuka miaka hio machozi unilenga, hasa nikiwa na drive highway, kumbukumbu zote uja... wale watu wote tuliokua darasa moja shule moja enzi izo sijui wako wapi? hatuwezi tena kuja kukutana ktk umati wa namna ile.
Hata mimi nilikuwaga najua hivyo aiseeYani hii familia ya Mr. and Mrs Daud nilikuwa najua iko kiukweli ukweli...nyie utoto raha sana
Hawafu mwenye nguvuWrite your reply...longtime kibanga ampiga mkoloni kwaichaga handeni..adunje binti mfupi masasi mtwara.
🤣🤣🤣🤣Yani hii familia ya Mr. and Mrs Daud nilikuwa najua iko kiukweli ukweli...nyie utoto raha sana
LIKUD, ukitaja hivi viwanda vilivyokuwa Morogoro,mimi nakumbuka ABOOD tu! Sijui nimerogwa!Dah leo nimekumbuka mbali sana. Mwaka 1997 nipo darasa la sita B shule ya Msingi jina kapuni.
Nilikuwa napenda sana somo la kiingereza. Mwalimu mkuu wa shule yetu ya Msingi ambayo of course ni shule ya Kayumba hizi Kayumba kongwe zenye kufundisha kwa kiswahili alinibatiza jina na kuniita " English Wizard".
Nimekumbuka enzi za Baraka and Neema. Mr. and Mrs Daudi.
Enzi za Radio Tanzania, mtangazaji Tumbo Risasi, hhhtangazo la sabuni ya mshindi
Nimekumbuka kwenye kitabu cha somo la kiingereza darasa la sita kulikuwa na topic inaitwa
" A trip( or visit? )to Moproko Factory " ambapo wanafunzi wa Mtakuja Primary School wakiongozwa na Baraka na Neema walienda kutembelea kiwanda cha Moproko kilichopo Morogoro kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa hicho kiwanda.
Nimepost hii story kwenye group la Primary School 1998 watu wanalia tu huko Machozi . Wanakumbuka mbali.
Crush wangu na classmate wangu wa enzi hizo Halima Bint Hussein na mwenzake Swabahi binti Mohamed wamenipigia simu wanalia wanakumbuka mbali..
Najua na humu Jf kuna watu wakiona hii title " A visit to Moproko Factory" watalia..
Mambo ya Mr and Mrs Daudi na watoto wao ie Musa , Neema na mdg wao mdg Baraka!dah miaka inakimbia mzee mwenzanguDah leo nimekumbuka mbali sana. Mwaka 1997 nipo darasa la sita B shule ya Msingi jina kapuni.
Nilikuwa napenda sana somo la kiingereza. Mwalimu mkuu wa shule yetu ya Msingi ambayo of course ni shule ya Kayumba hizi Kayumba kongwe zenye kufundisha kwa kiswahili alinibatiza jina na kuniita " English Wizard".
Nimekumbuka enzi za Baraka and Neema. Mr. and Mrs Daudi.
Enzi za Radio Tanzania, mtangazaji Tumbo Risasi, hhhtangazo la sabuni ya mshindi
Nimekumbuka kwenye kitabu cha somo la kiingereza darasa la sita kulikuwa na topic inaitwa
" A trip( or visit? )to Moproko Factory " ambapo wanafunzi wa Mtakuja Primary School wakiongozwa na Baraka na Neema walienda kutembelea kiwanda cha Moproko kilichopo Morogoro kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa hicho kiwanda.
Nimepost hii story kwenye group la Primary School 1998 watu wanalia tu huko Machozi . Wanakumbuka mbali.
Crush wangu na classmate wangu wa enzi hizo Halima Bint Hussein na mwenzake Swabahi binti Mohamed wamenipigia simu wanalia wanakumbuka mbali..
Najua na humu Jf kuna watu wakiona hii title " A visit to Moproko Factory" watalia..