jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
nani asiyekujua? si kesho tu unatuwa na story zako kutoka INYANGARWANDA! ushindi wa kweli huu hapamkuu si nilishakupa ushindi?
Leo ni jumatatu according to who..unajua for the sake of future arguments..we need to establish what "fact" is to you and me before we can proceedHata kama gazeti au jarida linalochapwa mara moja kila baada ya miaka 100 likisema "leo ni jumatatu" wewe utaona ni uongo based on how many times its printed? Basi sawa umeshinda, I am sure watutsi-extremists wenzio wakisoma hizi 'pointi' zako wanafurahi kweli jinsi unavyonikomesha mimi "interahamwe". 🙄
Mpalestina anasema its a fact Jerusalem ni mji wao...mu Israel anasema its a fact Jerusalem ni mji wao...so which one is a fact to you? MhhHata kama gazeti au jarida linalochapwa mara moja kila baada ya miaka 100 likisema "leo ni jumatatu" wewe utaona ni uongo based on how many times its printed? Basi sawa umeshinda, I am sure watutsi-extremists wenzio wakisoma hizi 'pointi' zako wanafurahi kweli jinsi unavyonikomesha mimi "interahamwe". 🙄
Yaani wewe, unachokiandika huwa unakijua mwenyewe. Sasa hapa ndio umeandika nini ? Unajuaje kama ni vijarida uchwara? Mmevichukulia hatua gani kwa kuandika uongo ? Acha porojo, andika hoja.Wewe na facts zako huwa unanichekesha sana...udaku wowote unaoandikwa na hivyo vijarida uchwara kwako ni fact..what a dimwit
nani asiyekujua? si kesho tu unatuwa na story zako kutoka INYANGARWANDA! ushindi wa kweli huu hapa
You should debate a FACT based on YOUR knowledge NOT based on who says what about it. Jerusalem mji wa nani haijalishi nani anasema, inajalisha MIMI najua nini... By the way Jerusalem has always been Israeli/Jewish.Mpalestina anasema its a fact Jerusalem ni mji wao...mu Israel anasema its a fact Jerusalem ni mji wao...so which one is a fact to you? Mhh
Do kwa hiyo wewe ukiambiwa leo jumatatu hauta bother kujadili fact, straight away utakataa kwa vile aliyesema ni "interahamwe"?Leo ni jumatatu according to who..unajua for the sake of future arguments..we need to establish what "fact" is to you and me before we can proceed
Hapo sasa ndio nimekuelewa vizuri...fact to you is not the truth but what you know. Even if what you know might not be the truth, to you its a fact. BTW the definition of fact is TRUTH.You should debate a FACT based on YOUR knowledge NOT based on who says what about it. Jerusalem mji wa nani haijalishi nani anasema, inajalisha MIMI najua nini... By the way Jerusalem has always been Israeli/Jewish.
CCM sio private sector nzima wala hawajahodhi soko. Rwanda kila kitu ni RPF companies. hakuna chochote cha maana unachoweza kukitaja ambacho hakina mkono wa RPF. Kagame alipoingia madarakani haraka akafanya privatization uchwara na kuyauza mashirika yote ya umma kwa makampuni ya RPF. Na humo RPF mwenye kujua mahesabu ya makampuni ni Kagame mwenyewe pekee.Hivi ngoja nichangie point moja tu ya RPF kufanya biashara. Hivi hapa Tanzania, CCM ina miradi mingapi? Viwanja vingapi vya michezo, majumba mangapi yanamilikiwa na chama? Kuna dhambi gani kufanya hivyo? Unafikiri chama kinaweza kuendeshwa kwa viingilio na michango tu? Mengine sijui.
Whatever, sasa rudi kwenye thread upinge hizo facts kwa that TRUTH you talk about, sio uanze personal attacks about the authorHapo sasa ndio nimekuelewa vizuri...fact to you is not the truth but what you know. Even if what you know might not be the truth, to you its a fact. BTW the definition of fact is TRUTH.
Haya tuendelee..sasa this will be the basis of all our arguments
1. According to jMali..
Fact is what jMali knows.
2. According to me..
Fact is the TRUTH