A question from curiosity….

A question from curiosity….

Gorgeousmimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
9,296
Reaction score
7,688
Habari,
Weekend hii nikiwa nimepumzika nikitizama filamu kwenye luninga,nikaona part ambayo imenipa maswali,wapendanao walifunga ndoa kisha kawaida bride(bi harusi) kabla ya kuondoka na mumewe akarusha maua alokuwa kayabeba…kisha wale ambao hawajaolewa wakaanza kuyangangania na kuyagombania langu eee langu weee….maswali kadhaa yakanijia kwanini wanagombea ua lilorushwa…kama ilikuwa imeandikwa likufikie wewe si lingekufikia tu?Kuna ukweli wowote kwamba ukilinyaka wewe lile ua kuwa utakuwa bi harusi si baada ya muda mrefu?
Kuna mtu yoyote alinyaka hilo ua na akawa biharusi mtarajiwa…Na kwa wanaume je kuna kitu chochote kama hiki ukipatiwa ni ishara ya kuwa utakuwa next groom?Please share your experiences:A S-rose:….

Cc Heaven on Earth lara 1Vaislay Swts ICHANA Himidini sokwe watu8 Isumbwile farkhina Husninyo miss chagga sungura1980 The Boss Blessed Blue G masai dadaChocs amu Happiness Chujio charminglady badiebey Excel xiexie Mkoroshokigoli wengineo wote
 
Last edited by a moderator:
Kama si kosei hii ni American culture ambayo wabongo sasa tumevamia as usual..miaka kumi ilitopita ilikuwa hakuna hii siku hizi tuna mpaka Halloween bongo
Acha halloween bongo,najua kuna ile ngoma na mangongoti tu ushaijua 😕 mtu akisimama kwenye mijiti mirefu akitembea nayo na kujivalisha kiajabu nikiogopaa nilipokuwa mtoto….
 
Kama si kosei hii ni American culture ambayo wabongo sasa tumevamia as usual..miaka kumi ilitopita ilikuwa hakuna hii siku hizi tuna mpaka Halloween bongo

America rules!

Mpaka slang watu wanaiga za Kimarekani. Unakuta mtu anaishi madongo kuinama huko lakini kupitia Google ana keep close tabs na kinachoendelea Marekani.

Halafu kwa wakati huo huo unakuta mtu anakandya Americana!

Hivi watu hawajaanza kusherehekea July 4th? MLK Jr. day je?

Najua Thanksgiving wapo wanaoisherehekea - ingawa ndo kinguvunguvu bila mapochopocho yake.

Sitashangaa kama pia kuna Black Friday na Cyber Monday.

Go USA go:usa2:
 
naona kama imekaa kiimani. wanasema imani ni dawa,pengne ataeliwahi atawahi kuolewa kweli.
 
Acha halloween bongo,najua kuna ile ngoma na mangongoti tu ushaijua 😕 akisimama kwenye mijiti mirefu akitembea nayo nikiogopaa nilipokuwa mtoto….

Tafuta filam ya Taye digs inaitwa 'the best man' utapata majibu
 
kukimbilia kudaka ua mi siafiki eti ndoa itakuja soon kwa mdakaji
ukute mdakaji cha wote mchumba anaeeleweka hana afu anakimbilia kudaka ua ili iweje???? wengi wanafurahishaga baraza tu
 
naona kama imekaa kiimani. wanasema imani ni dawa,pengne ataeliwahi atawahi kuolewa kweli.
nahisi ni hivo lakini hivi kweli kuna mtu amelinyaka akaolewa lol au ndo unaongeza juhudi ukilinyaka hilo ua!!
 
nahisi ni hivo lakini hivi kweli kuna mtu amelinyaka akaolewa lol au ndo unaongeza juhudi ukilinyaka hilo ua!!

nafikiri baada ya kulinyaka hata akili inaanza kujiset kuolewa na si ajabu soon jamaa akatangaza ndoa. mawazo yako yana impact kubwa sana katika maisha, unavhokifikiria ndicho utachokipata.
 
kukimbilia kudaka ua mi siafiki eti ndoa itakuja soon kwa mdakaji
ukute mdakaji cha wote mchumba anaeeleweka hana afu anakimbilia kudaka ua ili iweje???? wengi wanafurahishaga baraza tu
Nadhani itakuwa sahihi zaidi likikuangukia tu bila kunyanganyia kwasababu inakuwa kama bahati au luck…kama ukigombania maanake waweza umpokonye mtu lilomuangukia kiukwee(destined person),naafiki pia kwamba ni part ya celebration ambayo inaongeza shamrashamra na nice ending to a wedding….
 
nafikiri baada ya kulinyaka hata akili inaanza kujiset kuolewa na si ajabu soon jamaa akatangaza ndoa. mawazo yako yana impact kubwa sana katika maisha, unavhokifikiria ndicho utachokipata.
This is very true,kwasababu inawezekana hukua na fikra au dhamira ya kuolewa lakini just the fact kwamba umenyaka ua inaweza kukupa wake up call kwamba its time hun….
 
Nadhani itakuwa sahihi zaidi likikuangukia tu bila kunyanganyia kwasababu inakuwa kama bahati au luck…kama ukigombania maanake waweza umpokonye mtu lilomuangukia kiukwee(destined person),naafiki pia kwamba ni part ya celebration ambayo inaongeza shamrashamra na nice ending to a wedding….

hewalaaaaaaa hapo umenena linatakiwa likuangukie bila kupanga yaani iwe kama ajari tu kulipata lakini sio kugombania siafiki
na wabongo huu utamaduni wamevamia tu
 
Wanawake wanapenda kweli kumilikiwa na wanaume upesi, mpaka kufikia kuwa na imani hiyo ya kijinga

lara1 na wewe hukimbilia ua lililorushwa na bi. Harusi
 
Last edited by a moderator:
hewalaaaaaaa hapo umenena linatakiwa likuangukie bila kupanga yaani iwe kama ajari tu kulipata lakini sio kugombania siafiki
na wabongo huu utamaduni wamevamia tu
Kwa maana hio wale wanaogombania ni out of desperation ya ndoa au ni njia ya kujipa matumaini kwamba i will soon be the next bride?
 
Ni tamaduni za wenzetu wa mbele...tumezidi kuiga na ndo mana tunaigna visofaa

Binafsi siamini kwani kama ipo ipo tu na kama hakuna ni hakuna
 
kukimbilia kudaka ua mi siafiki eti ndoa itakuja soon kwa mdakaji
ukute mdakaji cha wote mchumba anaeeleweka hana afu anakimbilia kudaka ua ili iweje???? wengi wanafurahishaga baraza tu

huoni kama ua litampa matumaini ya kupata hubby soon?
 
hakuna ukweli wowote hiyo ni picha tu mana bora imani hutokea kuwa kweli
 
Habari,
Weekend hii nikiwa nimepumzika nikitizama filamu kwenye luninga,nikaona part ambayo imenipa maswali,wapendanao walifunga ndoa kisha kawaida bride(bi harusi) kabla ya kuondoka na mumewe akarusha maua alokuwa kayabeba…kisha wale ambao hawajaolewa wakaanza kuyangangania na kuyagombania langu eee langu weee….maswali kadhaa yakanijia kwanini wanagombea ua lilorushwa…kama ilikuwa imeandikwa likufikie wewe si lingekufikia tu?Kuna ukweli wowote kwamba ukilinyaka wewe lile ua kuwa utakuwa bi harusi si baada ya muda mrefu?
Kuna mtu yoyote alinyaka hilo ua na akawa biharusi mtarajiwa…Na kwa wanaume je kuna kitu chochote kama hiki ukipatiwa ni ishara ya kuwa utakuwa next groom?Please share your experiences:A S-rose:….

Cc Heaven on Earth lara 1Vaislay Swts ICHANA Himidini sokwe watu8 Isumbwile farkhina Husninyo miss chagga sungura1980 The Boss Blessed Blue G masai dadaChocs amu Happiness Chujio charminglady badiebey Excel wengineo wote


Edit title iwe "Question of curiosity"
 
Back
Top Bottom