U Umsolopogaas Member Joined Jul 18, 2010 Posts 40 Reaction score 11 Jun 17, 2013 #1 The reign of terror: A picture is worth 1,000 words
Mpaka Kieleweke JF-Expert Member Joined Feb 27, 2007 Posts 4,132 Reaction score 1,580 Jun 17, 2013 #2 Mkwara nn mbona Nkapa kaweka mikono nyuma na Warioba kama anataka kutoka nduki?
M Mr Rocky JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 15,178 Reaction score 14,383 Jun 17, 2013 #3 Mkapa alikuwa na nywele zote kichwani aise hakuna hata upara Ila Warioba kumbe kimbaumbau toka enzi hizo
Mkapa alikuwa na nywele zote kichwani aise hakuna hata upara Ila Warioba kumbe kimbaumbau toka enzi hizo
Sembeta jr JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 805 Reaction score 367 Jun 17, 2013 #4 duh! Kweli watu wametoka mbali
kbm JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 5,224 Reaction score 1,685 Jun 17, 2013 #5 ...haaa! kumbe nkapa alikuwa karibu sana na nzee tangia enzi hizo! hata nguo zinafanana! ndiyo maana mwl. alikuwa na imani naye' inaonyesha Warioba alikuwa anaogopa kukaa karibu na mwl.
...haaa! kumbe nkapa alikuwa karibu sana na nzee tangia enzi hizo! hata nguo zinafanana! ndiyo maana mwl. alikuwa na imani naye' inaonyesha Warioba alikuwa anaogopa kukaa karibu na mwl.
M MzalendoHalisi JF-Expert Member Joined Jun 24, 2007 Posts 4,710 Reaction score 1,655 Jun 17, 2013 #6 Huyu anayepigwa mkwala na Mwal. ni nani??
Mkwanzania JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 1,352 Reaction score 5,414 Jun 17, 2013 #7 Unaleta upumbavu kwenye kazi zangu wewe? Ntakutia bakora ukamuoneshe mkeo
Django JF-Expert Member Joined Apr 15, 2013 Posts 354 Reaction score 147 Jun 18, 2013 #8 jamani huyu pembeni ya mkapa ni nani
life is Short JF-Expert Member Joined Apr 1, 2013 Posts 4,741 Reaction score 3,037 Jun 18, 2013 #9 hapo ilikuwa ni amri na kutii, Hakuna kubisha, Simama kwa adabu..... La sivyo utakiona cha mtema kuni !!!! mwalimu Ahsante umetumia POWWER yako.
hapo ilikuwa ni amri na kutii, Hakuna kubisha, Simama kwa adabu..... La sivyo utakiona cha mtema kuni !!!! mwalimu Ahsante umetumia POWWER yako.
M Mkeshaji JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 4,258 Reaction score 1,418 Jun 18, 2013 #10 "No nonsense"...hahhaaa!
Mwana kinyonga JF-Expert Member Joined Sep 19, 2011 Posts 377 Reaction score 226 Jun 18, 2013 #11 Mwenye suti nyeusi ni nan?
Vito Andolini Member Joined Jun 11, 2013 Posts 66 Reaction score 28 Jun 18, 2013 #12 Mwenye suti nyeusi mimi naona anafanana na Abdulrahman Babu.. sina hakika kama ndie mwenyewe