A man with no altenative

ACADEMIA TODAY

Senior Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
179
Reaction score
86
A man is expected to control a woman
a man is expected to contol and run his family
a man is expected to be full of life altenatives

Hivyo ndivyo nilifundishwa mimi Academia, kwamba nikiwa na mwanaume basi nisiwe na shaka.

Sasa, inakuwaje huyu huyu mwanaume ambaye mimi niliaminishwa kuwa ana uwezo mkubwa anakuwa hivi!!!

  • Mnaishiwa pesa ya matumizi kama familia na yeye anakuangalia mwanamke u-make plan!!!
  • mnekwama njiani bila usafiri, hana hata rafiki mwenye gari wa kuja kuwaokoa!! au anao marafiki wenye magari ila hana network nzuri ya kuweza kupata msaada!!
  • Anamaliza masomo/chuo anakaa mtaani mwaka mzima eti anatafuta kazi!!!! Huwezi hata kujiajiri!!! Huna mtaji, ok, hata vibarua vidogo vidogo unashindwa kufanya!! au ndo usomi wako utadharaurika?
  • Kila siku yeye ni MR. SINA HELA.......utapata lini hela wewe??? wenzio wanazipata wapi? unadhani ni sifa kusema sina hela?
WHAT DOES BEING A MAN MEAN, MAYBE MIMI NINA UELEWA FINYU AMA POTOFU.
to me , being a man means having altenatives, being proactive, na sio kulia lia eti sina hela.
 
Mmm wanaume tunapimwa na mengi aisee
 
Umeona eehh Heaven on earth!!!
mwanaume hana hela, na mkewe sasa akazitafute wapi??
kuwa mwanaume maana yake nini jamani!!!
Uwe na hela
Kumbe hata wenzangu mnalitazama hili kama mimi
I wish someone could read this

ye kama hela sijui mkewe atoe wapi
 
Mmmnh jamani nyie si mnadai usawa na fursa sawa kwa wote sijui mkiwezeshwa mnaweza na yafananayo...

Mafursa ndo hayo sasa ya kuweka uwiano sawa
 
Umeona eehh Heaven on earth!!!
mwanaume hana hela, na mkewe sasa akazitafute wapi??
kuwa mwanaume maana yake nini jamani!!!
Uwe na hela
Kumbe hata wenzangu mnalitazama hili kama mimi

inahuu kusaidiana sometimes,hatuwezi kuwa blame
kukosa hela lakin ndo iwe kila siku!!!!!!
 
Ni vip Academia today?
Unalalamika sana, ni kweli unahaki hiyo, jana nilisoma uzi m1 humu unaelezea mfumo dume na mfumo jike, unasisitiza kusaidiana katika ndoa.
Nije kwako sasa, hata wewe unaweza kumsaidia hu m/me/mmeo, kama hunauwezo, jukumu linabaki kwake, kama anashindwa, si busara kumpiga chini, unajua sisi w/me tunatofautiana uwezo wa kutafuta hela, kama uyo wako anavyoshindwa na kutegemea kuajiriwa, hivyo basi inakubidi umsaidie mawazo, nini afanye ili mutoke ktk hali hiyo, na laiti utamshamshauri njia m'badala ya kujikwamua regardless elimu yake, na yeye akishindwa kufanya hivyo kwa sababu eti yeye ni msomi hawezi ku-do so or hawez ku-suffer. Si busara pia kumuacha ila unapaswa kulizungumzia hili kwa wazazi/walezi wake, ikishindikana kwa wazazi wako, then wazazi wako watatoa mtazamo wao, then una-decide whether muendelee or muishie hapo.
Refers, kama hawez ku-suffer mwenyewe, zingatia mbeleni anaweza kufukuzwa/kustaafu na apo ndio munaisoma na kupata jibu whether chua ni mchele au ni mpunga.
Kila la heri frnd.
 
nadhani wewe ACADEMIA umekaririshwa VIBAYA tena SANA.

kama kwa uelewa wako hii ndio philosophia kuhusu mwanaume, basi nakupa pole.
 
Mhhh kwisha habari yetu,ila hawa wavulana wa siku hizi kazi kweli kweli. Wanajua kuvaa mlegezo na kutoboa maskio tuu
 
Mwanaume ni kujishughulisha, mwanaume ni mateso, huyo ni good for nothing kama ni mm namweka ndani aoshe vyombo na kupika
 
Mimi wife wangu ni mtafutaji mzuri kila nikijitahidi simfikii kwa kipato. Nikimwacha tu na nitoe matumizi yote ya familia, chakula, mavazi, matibabu, ada zawatoto, michango ya harusi/misiba kila wkt hela yangu haitoshi. Yeye ndiyo kwanza anajenga kwao. Nimemgawia majukumu machache ila huko kununa sasa! We haya we!
 
Kwani wee taah.ira hadi huwezi zalisha pesa?
Kama hutaki hela yako iliiwe na mwanamme olewa na mwanamke
 
wanaume wa hivyo ni laana katika jamii kuna mmja wa hivyo hivyo na akipata hela ataitumia kama hakuwa na tabu .tupa kule atakuchelewesha kuendelea na maisha yenyewe mafupi ,utaleaje mwanaume bwana si wanadai mfumo dume hao???wautekeleze!!ila Elimu ya mtanzania haimuandai kuwa interprenure mruri inamwandaa kuajiriwa tu na ndio sababu wanakufa maskini wakisuburi ajira .
 
  • Kila siku yeye ni MR. SINA HELA.......utapata lini hela wewe??? wenzio wanazipata wapi? unadhani ni sifa kusema sina hela?
to me , being a man means having altenatives, being proactive, na sio kulia lia eti sina hela.

Haya maneno nimeyapenda sana...kwa ufupi huu ndio uanaume ila wanaume wanajifanya kama hawataki kuusikia huu ukweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…