ACADEMIA TODAY
Senior Member
- Jun 7, 2013
- 179
- 86
A man is expected to control a woman
a man is expected to contol and run his family
a man is expected to be full of life altenatives
Hivyo ndivyo nilifundishwa mimi Academia, kwamba nikiwa na mwanaume basi nisiwe na shaka.
Sasa, inakuwaje huyu huyu mwanaume ambaye mimi niliaminishwa kuwa ana uwezo mkubwa anakuwa hivi!!!
to me , being a man means having altenatives, being proactive, na sio kulia lia eti sina hela.
a man is expected to contol and run his family
a man is expected to be full of life altenatives
Hivyo ndivyo nilifundishwa mimi Academia, kwamba nikiwa na mwanaume basi nisiwe na shaka.
Sasa, inakuwaje huyu huyu mwanaume ambaye mimi niliaminishwa kuwa ana uwezo mkubwa anakuwa hivi!!!
- Mnaishiwa pesa ya matumizi kama familia na yeye anakuangalia mwanamke u-make plan!!!
- mnekwama njiani bila usafiri, hana hata rafiki mwenye gari wa kuja kuwaokoa!! au anao marafiki wenye magari ila hana network nzuri ya kuweza kupata msaada!!
- Anamaliza masomo/chuo anakaa mtaani mwaka mzima eti anatafuta kazi!!!! Huwezi hata kujiajiri!!! Huna mtaji, ok, hata vibarua vidogo vidogo unashindwa kufanya!! au ndo usomi wako utadharaurika?
- Kila siku yeye ni MR. SINA HELA.......utapata lini hela wewe??? wenzio wanazipata wapi? unadhani ni sifa kusema sina hela?
to me , being a man means having altenatives, being proactive, na sio kulia lia eti sina hela.