Literally ni kwamba chama cha siasa Tanzania ni kimoja. Na ndicho kinachopaswa kutoa Rais wa kuongoza nchi. H
Hivi vikundi vipo nchi zote duniani!Kibaya zaidi kuna kikundi cha viongozi wastaafu wa serikali na vyombo vya dola kinaamua nani awe rais kisha huyo rais tunaambiwa ni kupitia chama fulani, huku wananchi wakipoteza muda wao kwenda kupanga mstari kwenye box la kura eti wanamchagua rais! Bila machafuko tutaendelea kubambikiziwa viongozi ambao hawatokani na box la kura.
Kaka!!! hii ni account yako au imekuwa hacked?Kumbe bado kuna watu wanaamini kwenye Chama kushika hatamu!.
Nchi hii ni Watanzania, what does CCM have to do with it, wakati CCM ni chama tuukama vyama vingine?.
Haya ndio mambo ya Mbowe kumpigia magoti Magufuli badala ya kusisitiza afuate katiba inasema nini!.
Tutaendelea kuomba kuongozwa kwa hisani mpaka lini?.
P
Hivi vikundi vipo nchi zote duniani!
Vipo wazi? Huvijui wewe!! Nitajie cha Ufaransa!Vipo wazi, sio hapa kwetu watu wanajificha nyuma ya pazia, kisha wanaweka mtu ambaye atawalinda kwenye madhambi yao.
Nakuomba uwatafsirie vinginevyo ujumbe wako hawatauelewa zaidi ya neno CCM.Dear CCM central commetee !
Am presenting this to you knowing that you have all powers and resources to heal the nation.
Nyerere once said whoever would be nominated by CCM he would likely be the head of our house.
Considering this mwalimu statement plz do all what u can to bring another candidate to contest with others.
My reasons are simple.
1. The incumbent several times quoted to have said the position is tough for him and a burden as well.
2.It should be a way forward towards reconciliation and opening the page of new era in our country!
Lastly my friends in inner echelons do this for the betterment of our beloved country and you will be blessed for this.
Marry Christmas and happy New year!!
Anza wewe kumlazimisha. Maridhiano ni muhumu, dunia imesikia. la kutokea likitokea hata wewe utasema neno la kulaumu. Jitokeze wewe uliye jasiri uwe wa kwanza.Maridhiano for what?. Begging for your rights ni sawa na baby crying. Tanzania hatuhitaji kufanya siasa kwa hisani ya CCM au kwa hisani ya rais Magufuli!, wanatakiwa kujitokeza wanasiasa jasiri kumlazimisha rais Magufuli afuate katiba na sio kumpigia magoti na kumuomba as if ni hisani au kuomba huruma yake.
Why beg for your rights.
P
Vipo wazi? Huvijui wewe!! Nitajie cha Ufaransa!
Fool-mjingaMkuu Stupid maana yake ni mjinga. Idiot ndo mpumbavu.
Rubbish cc RetiredDear CCM central commetee !
Am presenting this to you knowing that you have all powers and resources to heal the nation.
Nyerere once said whoever would be nominated by CCM he would likely be the head of our house.
Considering this mwalimu statement plz do all what u can to bring another candidate to contest with others.
My reasons are simple.
1. The incumbent several times quoted to have said the position is tough for him and a burden as well.
2.It should be a way forward towards reconciliation and opening the page of new era in our country!
Lastly my friends in inner echelons do this for the betterment of our beloved country and you will be blessed for this.
Marry Christmas and happy New year!!
So mkuu unakubali kama Mgufuli hafuati katiba katika kutawala?Maridhiano for what?. Begging for your rights ni sawa na baby crying. Tanzania hatuhitaji kufanya siasa kwa hisani ya CCM au kwa hisani ya rais Magufuli!, wanatakiwa kujitokeza wanasiasa jasiri kumlazimisha rais Magufuli afuate katiba na sio kumpigia magoti na kumuomba as if ni hisani au kuomba huruma yake.
Why beg for your rights.
P
Uko sawa Mkuu,lakini je wenye dhamana wako tayari kwa dhati kabisa kuifuata Katiba ya Nchi..?Hakuna gharama zozote, katiba imeweka kila kitu wazi kuanzia katiba yenyewe, sheria, taratibu na kanuni. Sio favours, sio hisani, sio huruma ni haki.
P
😳 Huyu ni brother Pascal au macho yangu yamekengezeka ! Nimezoea kusoma mafumbo yake tu, leo duuu !Maridhiano for what?. Begging for your rights ni sawa na baby crying. Tanzania hatuhitaji kufanya siasa kwa hisani ya CCM au kwa hisani ya rais Magufuli!, wanatakiwa kujitokeza wanasiasa jasiri kumlazimisha rais Magufuli afuate katiba na sio kumpigia magoti na kumuomba as if ni hisani au kuomba huruma yake.
Why beg for your rights.
P