A God can be a mere theory, nothing more


You sound logically, tatizo nnaloliona hapa ni kwamba umekuwa blocked na imani in a sense that you ignore some truth. actually logic hiyo hiyo ukiitumia vizuri utaelewa nini namanisha hapa.

Ok. unauliza hao mitume walijuaje kuactivate hiyo pineal gland. Labda nikuulize, jee knowledge zote tunazotumia tumefundishwa na Mungu?
Na jee hutambui kunamtoto anaezaliwa anakua na kipaji chake?
Then hujasoma ktk kitabu cha imani yako kwamba ilitokea mtume/nabii babu yake alikua mtume, baba yake pia and then na yeye akazaa mtume? Jee haikutokea kipindi kimoja kukawa na mtume zaidi ya mmoja?

Then umeuliza ni mitume tu ndio waliweza kuactivate hiyo.

Ni wengi waliweza ila hakukua na njia mzuri ya kuhifadhi kumbukumbu za mababu zao. Ivi unajua kwanini mitume yote tunaambiwa imetoka middle east na si sehemu nyengine?
 
Hebu kuwa mkweli umeangalia kila dini au umeangalia uislamu na ukristo?
Mkuu soma utangulizi wa mada tu, nimeliweka wazi hilo.

Yaa hapo nimekosea. ni middle east na sio far east kama inavyosomeka, kuna mdau aliliongelea hilo.

Mkuu kwanini hakukuwa na manabii sehemu nyengine isipokuwa middle east ni nyinyi wenye dini hizo mbili ndio wakujibu. tumejua manabii wametoka middle east kwa sababu vitabu vyenu vimeelezea hivyo.

Sasa ikiwa kuna nabii alikuepo na hakutoka hapo middle east ni wewe wa kuprove.
 

Kila mtu aandike mababu zake kwa kitabu wewe unahisi kutakua na vitabu vingapi na kwa faida gani?

Then mfumo wa uzazi unajulikana.

Sema wewe ikiwa Mungu alipeleka Manabii sehem nyengine. Haya madini yameletwa na wakoloni kuwafanya watu wawe watiifu ili dhumuni lao litimie. Narudia tena uislamu na ukiristo ni tamaduni za watu wa middle east zisizo na mahusiano yoyote na Mungu. Mungu hawezi kuwa muongo.
 

Mkuu jamaa amesema ukiristo sio dini kwa mtazamo wake.

Unaliongeleaje hilo?
 
Hivi vigezo wewe umevitoa wapi? Au unataka kujiumbia Mungu wako?

Hivyo unataka kusema Mungu hawezi kuwa na sifa zile? then ukumbuke niliweka wazi ule ni mtazamo wangu. ungetrace mjadala ungejua kwanini nimeweka zile sifa.

Labla nikuulize wewe. Ni zipi sifa za Mungu or dini ya kweli?
 

Hayo mazingaombe na vikorombezo ulivyojumlisha hapo naamini vipo but hiyo sio sababu kwamba Mungu yupo unless unipe connection.

Then unaniambia niamini tu siku moja nitajua. Ok naomba mwongozo nimuamini Mungu yupi?
 
Hayo mazingaombe na vikorombezo ulivyojumlisha hapo naamini vipo but hiyo sio sababu kwamba Mungu yupo unless unipe connection.

Then unaniambia niamini tu siku moja nitajua. Ok naomba mwongozo nimuamini Mungu yupi?

Kijana,

Miongozo imeshatolewa ikiwemo Biblia takatifu, Msaafu na Hata tamaduni nyingine za Kuabudu ukiachana na hizo nilizozitaja mwanzoni.

Kumbuka, Kwanza wewe uamue kutoka ndani ya moyo wako kutaka kumjua MWENYEZI MUNGU Muweza wa Yote,

Pili jishushe acha kujiamini kutokana na elimu duni ya kimapokeo uliyofundishwa darasani... Kubali wewe si kitu na ni kiumbe mdogo na dhaifu sana.

Tatu, wewe ndo mwamuzi wa mwisho kuchagua umwamini mungu yupi, either MUNGU MWENYEZI au mungu/miungu mingine.
 
Hayo mazingaombe na vikorombezo ulivyojumlisha hapo naamini vipo but hiyo sio sababu kwamba Mungu yupo unless unipe connection.

Then unaniambia niamini tu siku moja nitajua. Ok naomba mwongozo nimuamini Mungu yupi?

Connection kati ya wewe na MWNYEZI MUNGU ni Imani yako kijana. Hakuna jambo jingine.
 
Hata nikijibu hilo itasaidia nini?
Does it sound unreasonable?

It is very reasonable but in research people are also interested in methods so that they can understand better the findings esp. a conclusion and be in a good position to give a critique or support it.
 
Mkuu jamaa amesema ukiristo sio dini kwa mtazamo wake.

Unaliongeleaje hilo?

Kwa mtazamo wangu mfumo au utaratibu wowote ule wenye lengo la kuwaleta watu karibu na mungu yeyote yule ni dini, huo ni mtazamo wangu binafsi.

Na hapo hapo mtazamo wangu tena kwamba hizi dini kwa upande mmoja zimechangia sana kuwapotosha watu kuhusu kumjua Mungu, ni kama vile kitu kimekaa katikati kuunganisha kati ya mtu na Mungu, sasa usahihi au ubaya wa dini utategemea sana na aliyeanzisha anauelewa gani kuhusu huyo Mungu anayemhubiri au kuwafundisha watu na kutafuta wafuasi wamwamini huyo Mungu. Ndio maana tuna matoleo mengi sana ya Mungu kutokana na mitazamo tofauti ya hao waanzilishi.

Ukristo ni dini iliyojengwa kwenye kuamini mafundisho ya Yesu Kristo.
 

And Cush the son of Ham, the son of Noah, took a wife in those days in his old
age, and she bare a son, and they called his name Nimrod, saying, At that time
the sons of men again began to rebel and transgress against God, and the child
grew up, and his father loved him exceedingly, for he was the son of his old age.
24. And the garments of skin which God made for Adam and his wife, when they
went out of the garden, were given to Cush.

For after the death of Adam and his wife, the garments were given to Enoch,
the son of Jared, and when Enoch was taken up to God, he gave them to
Methuselah, his son.
26. And at the death of Methuselah, Noah took them and brought them to the ark,
and they were with him until he went out of the ark.
27. And in their going out, Ham stole those garments from Noah his father, and he
took them and hid them from his brothers.

And when Ham begat his first born Cush, he gave him the garments in secret,
and they were with Cush many days.
29. And Cush also concealed them from his sons and brothers, and when Cush had begotten Nimrod, he gave him those garments through his love for him,
and Nimrod grew up, and when he was twenty years old he put on those
garments.
30. And Nimrod became strong when he put on the garments, and God gave him
might and strength, and he was a mighty hunter in the earth, yea, he was a
mighty hunter in the field, and he hunted the animals and he built altars, and he
offered upon them the animals before the Lord. Jasher 7: 23-30
 
Kijana,

Miongozo imeshatolewa ikiwemo Biblia takatifu, Msaafu na Hata tamaduni nyingine za Kuabudu ukiachana na hizo nilizozitaja mwanzoni.

Jee unamanisha dini/zote zinazomuamini Mungu/miungu ni za kweli? ikiwa jibu ni ndio, inawezekana vipi ukizingatia hayo makundi yanaamini Miungu tofauti?

Ikiwa jibu ni sio. Ni ipi dini ya kweli?
Kumbuka, Kwanza wewe uamue kutoka ndani ya moyo wako kutaka kumjua MWENYEZI MUNGU Muweza wa Yote,

Pili jishushe acha kujiamini kutokana na elimu duni ya kimapokeo uliyofundishwa darasani... Kubali wewe si kitu na ni kiumbe mdogo na dhaifu sana.
Sasa mkuu elimu ya kimapokeo ni ipi na ya kimamboleo ni ipi?
Tatu, wewe ndo mwamuzi wa mwisho kuchagua umwamini mungu yupi, either MUNGU MWENYEZI au mungu/miungu mingine.
 
It is very reasonable but in research people are also interested in methods so that they can understand better the findings esp. a conclusion and be in a good position to give a critique or support it.

If it sound reasonable, what is issue then?

Naamini ukiangalia kila hoja ktk hoja tisa hapo utagundua methodology iliyotumika. nahisi ungeongelea content mkuu.
 

Nimekusoma mkuu labla tumsubiri Nkwesa Makambo huenda atatoa ufafanuzi kwanini anaamini ukiristo sio dini.
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma mkuu labla tumsubiri Nkwesa Makambo huenda atatoa ufafanuzi kwanini anaamini ukiristo sio dini.

Dini zinakuwa na prescription juu ya matendo ya kufanya kutofanya na hukumu zake za kibinadamu. Wakristo ni wafuasi wa Mungu ambapo moral values zipo moyoni mwao zikiwashuhudia kweli na Neema ya maisha yao huku wakiwa na Uhuru wa kuamua kutenda au kutotenda ...
 
Last edited by a moderator:
Kwani hivyo unavyoviita vitabu vyetu kuna sehemu vimesema manabii wote wametokea mashariki ya kati? Hebu toa aya ya Qur'an inayosema mitume wote wametokea mashariki ya kati? Labda nikuulize swali wewe unatakaje labda kwa sababu shida nayoiona ni kwamba hukubaliani na maamuzi ya Mungu. Kwamba umeamua si sahihi kwa Mungu kumtuma mwarabu kwa dunia nzima au sio?
 
Kumbe umeanzisha mada ili kubishana!! Haya kila la heri.
 
Hivyo unataka kusema Mungu hawezi kuwa na sifa zile? then ukumbuke niliweka wazi ule ni mtazamo wangu. ungetrace mjadala ungejua kwanini nimeweka zile sifa.

Labla nikuulize wewe. Ni zipi sifa za Mungu or dini ya kweli?
The question is, hizi sifa unadhani ni nani anastahili kuzitoa? mimi na wewe? By the way kwa kuwa uko interested zaidi kubishana kuliko kujifunza I am officially done!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…