A Father Figure (AFF) - Albamu mpya kutoka kwa Dizasta Vina/Black Maradona

George Betram

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
4,021
4,913
Daaaah, Dizasta Vina anaachia Albamu lakini hakuna hata uzi mmoja unaozungumzia!!!?
Yaani watu wanamjadili tu Mwijaku wakati Dizasta vina ameachia albamu!!!?
Okay, basi ngoja niingilie kati, maana hizi dharau sasa!

Siku ya jana (Tarehe 6 Januari mwaka 2023), Dizasta Vina AKA Black Maradona ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la A Father Figure (AFF).
Albamu ina nyimbo 20, mpaka sasa albamu inapatikana kwa mfumo wa softcopy, albamu inapatikana kwa kiasi cha shilingi 10000 tu, unaweza kutembelea akaunti ya Dizasta Vina katika mtandao wa X(zamani twitter) ili kupata taarifa ya namna unaweza kupata albamu hii.

Akaunti ya Dizasta Vina (Twitter)

IMG_0323.jpeg
IMG_0322.jpeg
 
Daaaah, Dizasta Vina anaachia Albamu lakini hakuna hata uzi mmoja unaozungumzia!!!?
Okay, basi ngoja niingilie kati, maana hizi dharau sasa!

Siku ya jana (Tarehe 6 Januari mwaka 2023), Dizasta Vina AKA Black Maradona ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la A Father Figure (AFF).
Albamu ina nyimbo 20, mpaka sasa albamu inapatikana kwa mfumo wa softcopy, albamu inapatikana kwa kiasi cha shilingi 10000 tu, unaweza kutembelea akaunti ya Dizasta Vina katika mtandao wa X(zamani twitter) ili kupata taarifa ya namna unaweza kupata albamu hii.

Akaunti ya Dizasta Vina (Twitter)

View attachment 2864608View attachment 2864610
Nimesikiliza the guy is very smarter upstairs .
 
Daaaah, Dizasta Vina anaachia Albamu lakini hakuna hata uzi mmoja unaozungumzia!!!?
Yaani watu wanamjadili tu Mwijaku wakati Dizasta vina ameachia albamu!!!?
Okay, basi ngoja niingilie kati, maana hizi dharau sasa!

Siku ya jana (Tarehe 6 Januari mwaka 2023), Dizasta Vina AKA Black Maradona ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la A Father Figure (AFF).
Albamu ina nyimbo 20, mpaka sasa albamu inapatikana kwa mfumo wa softcopy, albamu inapatikana kwa kiasi cha shilingi 10000 tu, unaweza kutembelea akaunti ya Dizasta Vina katika mtandao wa X(zamani twitter) ili kupata taarifa ya namna unaweza kupata albamu hii.

Akaunti ya Dizasta Vina (Twitter)

View attachment 2864608View attachment 2864610
Hivi unajua kuwa, kuna watu hawajui kama Hatia VI tayari inapatikana kwenye platform(s) zote kwasasa.

Mbali na hilo, pia kuna watu hadi leo hii bado hawajaiskiliza ngoma nzuri sana za Dizasta Vina kama;
-Achia jala FT Kaa la Moto
-Wachezaji wa timu
-A father figure
-Money etc...

Lakini sawa, kuna comment moja ya Dr. Nimeiona hapo anasema "Dizasta mwenyewe anajua kuwa nyimbo zake ni kwaajili ya watu flani (ametumia neno Brilliant)". Kama bado huja'subscribe nenda sasa.
 
NilinunuaThe Verteller. Beats na Flow zinakufanya urelax kama unameditate hivi. Ngoja weekend ninunue hii. Nasubiri kwa hamu kusikiliza A Confession of a mad father, No body is Safe VI na hiyo aliyo mshirikisha Baraka Da Prince.
 
kama akili yako ni waluwalu huwezi muelewa jamaa, ndio maana ngomazake vijana wa mapiano hawamuelewi.
 
Back
Top Bottom