George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,913
Daaaah, Dizasta Vina anaachia Albamu lakini hakuna hata uzi mmoja unaozungumzia!!!?
Yaani watu wanamjadili tu Mwijaku wakati Dizasta vina ameachia albamu!!!?
Okay, basi ngoja niingilie kati, maana hizi dharau sasa!
Siku ya jana (Tarehe 6 Januari mwaka 2023), Dizasta Vina AKA Black Maradona ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la A Father Figure (AFF).
Albamu ina nyimbo 20, mpaka sasa albamu inapatikana kwa mfumo wa softcopy, albamu inapatikana kwa kiasi cha shilingi 10000 tu, unaweza kutembelea akaunti ya Dizasta Vina katika mtandao wa X(zamani twitter) ili kupata taarifa ya namna unaweza kupata albamu hii.
Akaunti ya Dizasta Vina (Twitter)
Yaani watu wanamjadili tu Mwijaku wakati Dizasta vina ameachia albamu!!!?
Okay, basi ngoja niingilie kati, maana hizi dharau sasa!
Siku ya jana (Tarehe 6 Januari mwaka 2023), Dizasta Vina AKA Black Maradona ameachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la A Father Figure (AFF).
Albamu ina nyimbo 20, mpaka sasa albamu inapatikana kwa mfumo wa softcopy, albamu inapatikana kwa kiasi cha shilingi 10000 tu, unaweza kutembelea akaunti ya Dizasta Vina katika mtandao wa X(zamani twitter) ili kupata taarifa ya namna unaweza kupata albamu hii.
Akaunti ya Dizasta Vina (Twitter)