Habari zenu humu ndani, baada ya muda mrefu sana kuangaika na namna ya kuweza kujiunga na Jamii Forums hatimae leo nimeweza.
Uliwasiliana nao vipi?uongozi mzima.
Salamu zimefika mkuu, nimefurahi sana kuwa humu na magreat thinkers.Kwenu ni wapi aisee ambako mnapata heshima kubwa hivyo kujiunga Jamii Forums!
Karibu sana mgeni na uwasalimie sana huko uliko. Uwaambie na wewe sasa umekua Great Thinker!!
Mkuu naona kama kaja na Id mpya huu muandiko kama naufahamOld member in disguise, karibu tena.