old millitary tactics... Sku izi mzee wakikuona unaangalia hivo wanajua kuna wenzako kibao eneo ilo... Inatumwa rocket blaster hapo... Hata kucha atutapata kabisa ya kurudisha home...!!!!
Safi sana mkuu!
tuliopitia medani za kivita unaambiwa never expose your position.
Hapa jamaa ana mkaribisha adui ku expose his/her position ili wenzake wammalize.