Investigation Unit
JF-Expert Member
- Nov 26, 2023
- 357
- 399
Ukweli mchungu Wabunge waliopo madarakani Kwa zaidi ya 70% hawatarudi bungeni,
Kwanini hawatarudi majimboni,
1. Wengi wao hawakuwa chaguo la wanachama na wananchi ila chaguo la Hayati Magufuli
2. Wengi wao hawajafanya chochote kwenye majimbo yao na wao hutembelea kazi za Rais Samia ila wao kama wao ni sifuri,
3. Wengi wao baada ya kuwa wabunge walijawa na majivuno na madharau Kwa wanachama na wapigakura kwakuwa hawakuamini kama mjumbe Wala mpigakura anaweza kuwaweka au kuwaondoa madarakani.
4. Wengi wao ni mabubu hawajawahi kuongea Kwa miaka yote Mitano badala yake wamekuwa wakiuliza maswali hasa ya nyongeza Kwa vijikaratasi na kuwataka mawaziri wajibu.
5. Wengi wao walitarajia kuwa mawaziri na waliwaaminisha wapigakura wao kuwa watakuwa mawaziri Kuna wafanya wakate tamaa ya kugombea hasa kutoa pesa kwaajili ya takrima za wajumbe,
Kwanini hawatarudi majimboni,
1. Wengi wao hawakuwa chaguo la wanachama na wananchi ila chaguo la Hayati Magufuli
2. Wengi wao hawajafanya chochote kwenye majimbo yao na wao hutembelea kazi za Rais Samia ila wao kama wao ni sifuri,
3. Wengi wao baada ya kuwa wabunge walijawa na majivuno na madharau Kwa wanachama na wapigakura kwakuwa hawakuamini kama mjumbe Wala mpigakura anaweza kuwaweka au kuwaondoa madarakani.
4. Wengi wao ni mabubu hawajawahi kuongea Kwa miaka yote Mitano badala yake wamekuwa wakiuliza maswali hasa ya nyongeza Kwa vijikaratasi na kuwataka mawaziri wajibu.
5. Wengi wao walitarajia kuwa mawaziri na waliwaaminisha wapigakura wao kuwa watakuwa mawaziri Kuna wafanya wakate tamaa ya kugombea hasa kutoa pesa kwaajili ya takrima za wajumbe,