60 people perish Zanzibar

DOOKY

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
370
50
Inasemekana watu 60 wamepoteza maisha katika ajali ya meli huko Zanzibar,
Source: DW jioni ya leo
 
I believe the data will be minimized. is Seagul once banned from passenger transportation? How about Spice Islander case? God help us!
 
Inasemekana watu 60 wamepoteza maisha katika ajali ya meli huko Zanzibar,
Source: DW jioni ya leo

watangaze haohao DW sie huku bongo media zetu full magoma moto moto...nashauri iundwe sheria ya kuongoza vyombo vya habari, kwamba likitokea jambo la dharula vyombo vyote vya habari visitishe ratiba zao za kawaida na kuripoti tukio husika, itatusaidia kama taifa
 
Why we always cry at the end! Instead take initiative to avoid the situation before, above all you watch and read the comments in a bid to blame the authority, are a safe in this! Let's play our part avoing evils things around us because we are the first to survive in country
 
Jamani, hili li meli si lazamani sana?!

Ndio hivyo tena. Halikufaa kusajiriwa na Sumatra bara, lakini nyie wenzetu mkaona Sumatra wajinga, mnataka kuamua mambo yenu wenyewe mkalisajiri pamoja na ubovu wake. Siku nyingine twawapiga marufuku kuleta merikebu zenu huku bara.

Nadhani kama Zanzibar wataka kusajiri merikebu wenyewe, Sumatra wekeni sheria ili merikebu ilosajiriwa Zanzibar lazima isajiriwe na bara ili kuruhusiwa kuingia bandari za bara, maana Zanzibar washasema hawataki Sumatra visiwani. Sasa isiwe hawataki Sumatra visiwani ili wasajiri merikebu mbovu na za Irani sijui.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom