Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Huyo punguani anaejiita mgen kishapewa darsa sana kuhusu hizo aya lakini nnakuhakikishia huyo ni wale wenye macho yasiyoona na masikio yasiyosikia na mwenye moyo wenye maradhi.
Auntie Faiza, nadhani itakuwa vyema kumjibu tu kwani sio yeye atakayefaidika ila wengine wenye maswali kama hayo ndio watafaidika kupitia yeye, yeye atakuwa kama Black board ya wengine kujifunzia. Ni bora ajibiwe tu na hiyo ndiyo wajibu wetu vinginevyo maadui wataendelea kuchukua nafasi ya kuupakazia Uislamu kwa chuki zao tu.