Maisha ya mwanadamu kiasili ni utashi ambao Mungu ameuweka katika nafsi za Kila mmoja wetu pamoja na viumbe hai wote.
Hali hii inajumuisha mifumo ya utawala na uongozi kupitika mila na desturi za jamii husika kulingana na mazingira yake.
Mwanadamu ameumbwa kwa jinsi(sex) mbili kuu ambazo ni mwanaume na mwanamke,Kila jinsi Ina namna inavyopokea changamoto za mazingira na namna ya kuzikabili.
Mwanaume kiasili ni mtawala kulingana na maumbile, fikra na utashi mwanamke yeye mlezi wa familia,mtekelezaji wa majukumu ya kila siku ya kiuchumi.
Kwa hiyo baada tu ya wanadamu kuanza kubadili asili ya utawala na uongozi katika familia na kuanza kupigania haki za binadamu ndipo mwanadamu akaanza kutoka kwenye utaratibu wa maadili ya asili na kuanza kuwapa wanawake haki sawa na wanaume zikiwemo za kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na kidini na ndipo wanawake wakaacha jukumu lao la msingi la malezi na hivyo kuwafanya watoto kulelewa ovyo ovyo, wanaume kudharauriwa na nguvu ya malezi kupungua na hivyo kusababisha watoto wa kiume na wakike kuingizwa kwenye uchafu kwa kukosa usimamizi na ufuatiliaji wa karibu.
Hali hii pia imesababisha watoto wadogo kuanzia miaka miwili kupelekwa shule za bweni na wanaobaki nyumbani kuangalia vipindi vya hovyo ambavyo vinachochea ushoga na vitendo vinavyofanana na hivyo. Kumbukeni kuwa jamii zetu kabla ya mambo ya 50/50 hakukuwa na vitendo vya ushoga hata jamii ambazo zinakumbatia mila na desturi kama wamasai, wabarbaigh na wengineo.
Natoa hoja.
Hali hii inajumuisha mifumo ya utawala na uongozi kupitika mila na desturi za jamii husika kulingana na mazingira yake.
Mwanadamu ameumbwa kwa jinsi(sex) mbili kuu ambazo ni mwanaume na mwanamke,Kila jinsi Ina namna inavyopokea changamoto za mazingira na namna ya kuzikabili.
Mwanaume kiasili ni mtawala kulingana na maumbile, fikra na utashi mwanamke yeye mlezi wa familia,mtekelezaji wa majukumu ya kila siku ya kiuchumi.
Kwa hiyo baada tu ya wanadamu kuanza kubadili asili ya utawala na uongozi katika familia na kuanza kupigania haki za binadamu ndipo mwanadamu akaanza kutoka kwenye utaratibu wa maadili ya asili na kuanza kuwapa wanawake haki sawa na wanaume zikiwemo za kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na kidini na ndipo wanawake wakaacha jukumu lao la msingi la malezi na hivyo kuwafanya watoto kulelewa ovyo ovyo, wanaume kudharauriwa na nguvu ya malezi kupungua na hivyo kusababisha watoto wa kiume na wakike kuingizwa kwenye uchafu kwa kukosa usimamizi na ufuatiliaji wa karibu.
Hali hii pia imesababisha watoto wadogo kuanzia miaka miwili kupelekwa shule za bweni na wanaobaki nyumbani kuangalia vipindi vya hovyo ambavyo vinachochea ushoga na vitendo vinavyofanana na hivyo. Kumbukeni kuwa jamii zetu kabla ya mambo ya 50/50 hakukuwa na vitendo vya ushoga hata jamii ambazo zinakumbatia mila na desturi kama wamasai, wabarbaigh na wengineo.
Natoa hoja.