5 Signs She’s Faking It (And What To Do About It)

5 Signs She’s Faking It (And What To Do About It)

Kumbe umeelewa!! Mie mwenzio nitoka bure bilashi

Aaaaah acha masihara sista, mambo yenu kabisa hayo

halafu sista mbona hukunitumia sasa? au ndo ulimaliza vile!!!
 
Aaaaah acha masihara sista, mambo yenu kabisa hayo

halafu sista mbona hukunitumia sasa? au ndo ulimaliza vile!!!

Oooh! Nilisahau mwenzangu na nishafuta kila kitu kule.
 
Please advise where to find these gadgets:- sex toys - like penis rings with clitoral stimulators and vibartors. Je vipo Mlimani city au Quality Plaza
 
Jamani wewe paulo sijui nani nani kila siku kunyanyapaa tu wenzio, ndio lugha gani hii sasa!! mito na cute b hebu mukuje mnitafsirie mwenzenu.

Uwiiiiii sijaambulia chochote zaidi ya kuumwa na kichwa.
Kweli kanikomesha lol sijui nani atutafsirie.
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiii sijaambulia chochote zaidi ya kuumwa na kichwa.
Kweli kanikomesha lol sijui nani atutafsirie.

Sasa dikishonari yangu na wewe leo umechemka unategemea nini sasa?? Ukute katutukana alafu tunajichetua tu hapa, mito naye alitoka kapa akajifanya hamna point, mweeeh hebu twende kwa ras simba mama.
 
Last edited by a moderator:
Sasa dikishonari yangu na wewe leo umechemka unategemea nini sasa?? Ukute katutukana alafu tunajichetua tu hapa, mito naye alitoka kapa akajifanya hamna point, mweeeh hebu twende kwa ras simba mama.

Aaaaah english mchezo!!!
anatuongelesha kingreza utafikiri kutusomesha bana!!
 
Sasa dikishonari yangu na wewe leo umechemka unategemea nini sasa?? Ukute katutukana alafu tunajichetua tu hapa, mito naye alitoka kapa akajifanya hamna point, mweeeh hebu twende kwa ras simba mama.

Wanasema ukishindwa kusoma angalia picha sasa mimi kwa picha nishaelewa.
Ni mwanaume na mwanamke wamelala itakuwa mtoa uzi anawasema kuwa wanafanya tabia mbaya.
Alafu naona orgasms sijui organizim sijui ndo nini duuu
 
Last edited by a moderator:
Wanasema ukishindwa kusoma angalia picha sasa mimi kwa picha nishaelewa.
Ni mwanaume na mwanamke wamelala itakuwa mtoa uzi anawasema kuwa wanafanya tabia mbaya.
Alafu naona orgasms sijui organizim sijui ndo nini duuu

Mweeeeeh!! Kweli ualimu wito, sasa ndio umenielezea ukamaliza hivyo!!
 
Wanasema ukishindwa kusoma angalia picha sasa mimi kwa picha nishaelewa.
Ni mwanaume na mwanamke wamelala itakuwa mtoa uzi anawasema kuwa wanafanya tabia mbaya.
Alafu naona orgasms sijui organizim sijui ndo nini duuu

Hahaha haya bana
 
Back
Top Bottom