Uko maeneo gani mkuu. Mie Niko Arusha Airtel 4G siipatiMi nina wiki kama tatu hv natumia 4g ya airtel nilishangaa tu ikapanda na kuwa lte(4g)
Toka siku hiyo voda nimeiweka mahabusu
Ekeni ekeni na screenshot za speed Bila kusahau ping.
Kwa server ya London hio ping Ni nzuri mkuu,
Unazichukua mwenyewe
*149*99#
Halafu bonyeza option ya Stamika
Utaona iyo 4GB free
Bonyeza *149*99# then no 5 smartika, then no 2 boresha line, then 2 utaona
Mkuu ulienda kubadilisha line au imesoma yenyewe?Ila mkuu speed yao unaionaje?wanaweza kuwaweka Vodacom bench kweli kwa upande wa speed?
Line yangu imeshasoma 4G ila sijaitest nina bundle la voda nalimalizia kwanza.
Kama umewahi kubadili line hivi karibuni inasoma 4g lkn kama line ya zamani sana lazima ukabadiliMkuu ulienda kubadilisha line au imesoma yenyewe?
Hongera mkuuAsante, nimepewa sasa.
Nilienda kubadilisha line wakanipa 24hrs kwamba baada ya mda huo itakuwa inasoma 4G kweli sasa iko hivyo.Mkuu ulienda kubadilisha line au imesoma yenyewe?
Angalia #43 nimeweka speedtestWatumiaji wa hii 4G ya airtel ningependa maelezo ya ziada. Je, airtel wanatumia band gani kwa 4G yao, pamoja na Speedtest japo chache tujue kama ipo vizuri au ni yale yale (4g jina)
Mkuu Hapa umechanganya megabyte per second na megabit per second, megabyte kwenye kifupi chake inakuwa na B kubwa mfano MBps na megabit inakuwa na b ndogo Kama Mbps.Kiuhalisia hakuna mtandao ambao unasema ukweli kuhus hii download speed utakuta mtandao ukifanya speed test unasoma 49mbs lakini unapodownload kitu inagonga kwenye 6mbps ndiyo imejitahidi hiyo ni voda tena tuache unazi kwa Bongo mi sioni maana ya hii kitu ila tu as long as naona mtandao uko faster basi hayo mengine mbwembwe tu so far kwa 4G ya Airtel nimexperience kitu wame improve kutoka walipotoka mpaka sasa na ukijumlisha wanavifurushi vizuri si haba kwa hatua waliyofika.
Namiliki 4G toka 2014,sitateseka kabisaKabisaa lakini mpaka uwe na cm ya 4g ndio utaona matokeo.. Kama bado unatumia cm ya 3g basi we endelea kuteseka
Nmebadili leo line
Hakuna cha 4G wala nini
Nmewapigia wananiambia et hawajazindua bado
Wakati walikua wananitumia ma sms tele
Anhaa Ahsanteh Mkuu kwa Elimu basi hili lilikuwa ni tatizo langu boss kufananisha hayaa maneno,NimejifunzaMkuu Hapa umechanganya megabyte per second na megabit per second, megabyte kwenye kifupi chake inakuwa na B kubwa mfano MBps na megabit inakuwa na b ndogo Kama Mbps.
Megabyte 1 Ni sawa na megabit 8
Hivyo unapodownload kitu kwa 6MBps kwenye idm Ni sawa na kupima speed ikaonesha 48mbps.
Kwa vifurushi vya Airtel Sasa Hivi Ni moja ya mtandao Bora kusema kweli, mwanzo walikuwa hawana mvuto sababu ya speed Yao japo vifurushi Ni vizuri.Anhaa Ahsanteh Mkuu kwa Elimu basi hili lilikuwa ni tatizo langu boss kufananisha hayaa maneno,Nimejifunza
Basi kwa Airtel naona kuna mda nikidownload kitu inakamata hadi 2.7MB/s na Tigo wanacheza 4 MB/s kwa 4G mi naona si mbaya sana kwa hizi speed.
Kwa Hilo basi VODA wako juu zaidi sema tu Tatizo bei za Packages zao.
Hii ndio4Gg+ wanayoitangaza?Tigo nasepa nayo iko vzr haswa View attachment 1175469View attachment 1175470
4G+ kwa nchi nyingine inachezaga 70 Mbps kwenda 150 Mbps na zaidi kwa Tanzania hii mitandao inayotangaza 4G+ hata spidi zao hazifiki za Vodacom.Hii ndio4Gg+ wanayoitangaza?
Hii inamaanisha kuwa kuboreshwa kwa mtandao wa Tigo toka Tigo 4G hadi Tigo 4G+ inakupa kasi mara mbili zaidi ya ile ya awali unapotumia huduma za Tigo kama intaneti, Tigo Pesa, Tigo Bima na mawasiliano ya kupiga simu kati yako, marafiki, familia na biashara. #TigoInabadiliMaisha https://t.co/hn9reWjB9I
View attachment 1177664
Kwa hiyo simu ikiwa na 4g automatically ni 4g+? Na kwenye signal inatakiwa ionyeshe +?4G+ kwa nchi nyingine inachezaga 70 Mbps kwenda 150 Mbps na zaidi kwa Tanzania hii mitandao inayotangaza 4G+ hata spidi zao hazifiki za Vodacom.
naona TTCL mwaka Jana sijui juzi walisema wana 4G+ lakini hadi leo hii kwa matumizi yangu sijawahi ona ikivuka 30 Mbps, Tigo nao wanasema wana 4G+ lakini spidi yao ya kusikitisha.. Labda kama kuna fundi wao hapa anielekeze maeneo hapa Dar walipo funga hiyo 4G+ niende nikajionee
Sio necessary kwamba simu ikiweza kusoma 4G itaweza kuwa 4g+, unabidi uangalie kwenye box kama inasupport LTE-A au 4G+. Simu za zamani kidogo 2013 kurudi nyuma zilikuwa zina 4G lakini ni Cat 3 100/50 Mbps, kwahiyo zilikuwa hazi support LTE-A au 4G+ lakini simu za siku hivi nyingi zinakuwa na LTE-A Cat 4,6,9, 16,18,20 so zinasupport 4g+Kwa hiyo simu ikiwa na 4g automatically ni 4g+? Na kwenye signal inatakiwa ionyeshe +?