Tumia akili ndogo tu.
Jiulize na ujipe majibu kwamba:
Ushawahi kuona sehemu yenye pesa watu wanaitana?
Je anayekushawishi yeye ana mamilioni?
Hizo ni akili zinazotumiwa sana na waganga wa kienyeji..atakudanganya anakutengenezea utajiri wakati yeye ni maskini wa kutupwa.
Tamaa mbaya.