pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,233
Naipenda sana hii movie, nilikuwa siyo shabiki sana wa movie za kigabachory lakin hii ndo ikafungua pazia ,na tangu hapo nimekuwa nazifuatilia kila napopata nasafi.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.