Halafu ukishamaliza kuangalia movie za ukweli kama hizi uje uniambie niwaelewe BANGE Movie, thubutuu
Ni some rain au some ways?
nlichojifunza katka hii movie ni kwamba sio kila anaepita na cheti kina A za kumwaga ni za kwake!! rancho alikuja kuwa the biggest scientist in the world na wala hana cheti bt experience.
Huyu kiumbe huyuuuu
Hahaha muvi za aamir khan ni nzuri sana jamaa huwA hakosei saiv kuna mpya inaitwa PK tafuta uione
Hio PK si muvie yake mpya nazani imetoka December halafu bado sijabahatika kuiona
Naipenda sana hii movie, nilikuwa siyo shabiki sana wa movie za kigabachory lakin hii ndo ikafungua pazia ,na tangu hapo nimekuwa nazifuatilia kila napopata nasafi.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.