28 July CHADEMA DAY

28 July CHADEMA DAY

Pongezeni sana wana kamanda jitaidini tufanye mapinduzi jamani tumechoka sana tena sana
 
Naunga mkono hoja. Siku
ya kufariki kwa MPAMBANAJI Chacha Wangwe ni lazima ikumbukwe kila
mwaka.

hakika chacha wangwe alikuwa mpambanaji wa kweli ndani na nje ya chadema. inasikirisha sana kuona mtu anakufa kifo cha ajabu eti kwa kosa la kutaka tu kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chadema. kitendo hicho kilitafsiriwa kuwa ni uasi ndani ya chama na adhabu yake ni kifo
 
Sasa wangapi mtafika tarime kesho ili tushiriki wote mie ni mwanakamati
 
hakika chacha wangwe alikuwa mpambanaji wa kweli ndani na nje ya chadema. inasikirisha sana kuona mtu anakufa kifo cha ajabu eti kwa kosa la kutaka tu kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chadema. kitendo hicho kilitafsiriwa kuwa ni uasi ndani ya chama na adhabu yake ni kifo

ukitaka kutafakari nani anatakiwa kushutumiwa anza kuangalia Akina kolimba, kombe, chachage, na Mwangosi
 
Back
Top Bottom