28 July CHADEMA DAY

28 July CHADEMA DAY

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,792
Reaction score
2,421
Huwa najiona kama nabii niliposti uzi huu kabla Rwakatare hajakamatwa na Mabomu hayajarushwa Arusha na Kesi za ugaidi za akina kileo ila bado nikapuuzwa

Kesho ni Tarehe ya siku aliyouawa Hayati CHACHA WANGWE.

CHACHA WANGWE NDIYE MWANASIASA ALIYEFANIKIWA ZAIDI KWA UPINZANI, MWANAHARAKATI WA KWELI NA SITAMSAHAU.

Siku hiyo tutawakumbuka wanaharakati wote wa Tanzania waliouwawa au kufa vifo vyenye utata kinyama katika harakati za kupigania uhuru wa kweli na democrasia ya kweli baada ya uhuru wa bendera kama.

1. Chacha Wangwe
2. Profesa Chachage alikuwa prf UDSM alimpinga mkapa sana juu ya wizi kwenye ubinafsishaji alikufa gafla kwenye semina
3. Kolimba horice ktb wa ccm alisema CCM HAINA DIRA alikufa alipokuwa akiojiwa juu ya kauli hiyo na ccm gafla
4. Mwangosi
5. Sokoine
kunawengine wengi kama wakili aliyepigwa raisasi kwake aliyekuwa anaishitaki selikali swala la mgombea binafsi akishikiana na mtikila

7. "Kombe"afsa wa police aliuawa na police alikuwa karibu na mrema agustin lyatonga
8. Kunamoja alipigwa risasi kama 30 kwake
na majambazi zaidi 10 waliovaa kijeshi

wanachadema wa3 waliouawa Arusha.

Wafuasi wa CUF 47 waliouawa 2001 na police visiwani zanzibari

pia tuwakumbuke waliokutana na mateso makali kama

Herison Mwakyembe
Kibanda
Ulimboka
kubenea
kuwe na Mikanda cd za kuonesha harakati zao

hii ítawapa ujasiri wanaharakati waliopo

mf; Maneno mazito ya mwanzo ya wangwe bungeni. ."NASHUKURU WATU WANGU WA TARIME KWA KUNIPAKURA NA KUZIRINDA MPAKA NAKUJA BUNGENI DAMU NYINGI ZILIMWAGIKA WAKIPINIGANIA" itaamsha hali ya mapinduzi ya kidemocrasia na itakuwa wazi Mtu akiuawa harakati zake zibaki daima.
Historia ni muhimu kuwekwa wazi kwa kuendeleza harakati. Kukaa kimya ni kutoa ushindi wa chee kwa wauaji.
JE SIKU HIYO IITWAJE
CHAdema day
Peopes day
siku ya Harakati
M4C victims day
 
Chadema wana utaratibu wa kuweka kumbukumbu zako. Ila sioni chembe ya dhamira njema kwenye hoja yako hii.
 
9. Nyerere mwl. Naye kifo chake kina utata. Mkapa alihusishwa na kifo chake kwa kumpeleka kutibiwa uingereza sehem ambayo yeye( nyerere) na familia yake walikuwa hawataki aende huko.
 
Chadema wana utaratibu wa kuweka kumbukumbu zako. Ila sioni chembe ya dhamira njema kwenye hoja yako hii. Hata hivyo suala la kumbukumbu ni muhimu
 
Naunga mkono hoja. Siku ya kufariki kwa MPAMBANAJI Chacha Wangwe ni lazima ikumbukwe kila mwaka.
 
Chadema wana utaratibu wa kuweka kumbukumbu zako. Ila sioni chembe ya dhamira njema kwenye hoja yako hii. Hata hivyo suala la kumbukumbu ni muhimu

Hapo kwenye red uko sahihi,mleta mada kuna kitu amelenga
 
Chadema wana utaratibu wa kuweka kumbukumbu zako. Ila sioni chembe ya dhamira njema kwenye hoja yako hii.

sikuelewi fafanua mkuu watu wanauawa kila siku na hatuoni dalili za selikali kuöndoa tatizo hilo
 
Hapo kwenye red uko sahihi,mleta mada kuna kitu amelenga

fafanua kidogo mkuu nimelenga nini?
Magamba wanaleta michezo ya kuigiza na kuwanukishia CHADEMA wengi watauawa kama historia za waliokufa na harakati zao hazitawekwa wazi.
Na Cd za kuonesha harakati walikuwa wakifanya na jinsi walivyokufa kinyama itaamsha hali ya mapinduzi ya kidemocrasia na itakuwa wazi Mtu kauawa ila harakati zake zibaki daima.
Historia ni muhimu kuwekwa wazi kwa kuendeleza harakati.
 
Hebu tuwekane sawa,Chacha Wangwe kumbukumbu zinasema alikufa kwa ajali ya gari. Hiyo assumption ya kuuwawa inahitaji ushahidi kabla ya kuwekwa kwenye kumbukumbu.
 
Hebu tuwekane sawa,Chacha Wangwe kumbukumbu zinasema alikufa kwa ajali ya gari. Hiyo assumption ya kuuwawa inahitaji ushahidi kabla ya kuwekwa kwenye kumbukumbu.

nimesema waliouawa au kufa vifo vyenye utata
 
Tukichukua nchi hawa mashujaa tutawajumuisha siku ya Mashujaa ambayo tayari ipo inasherehekewa. Wakati huo viongozi waandamizi wa CCM na Polisi watakuwa The Hague namaaanisha viongozi waandamizi wa CCM nadhani tunawajua vizuri. Just time will tell
 
Vitisho vinaendelea. Bila kuungana wengi wataogopa na kuacha siasa. CHADEMA UNGANISHA NGUVU KUPINGA UONEVU HUU.
 
Huwa najiona kama nabii niliposti uzi huu kabla Rwakatare hajakamatwa na Mabomu hayajarushwa Arusha na Kesi za ugaidi za akina kileo ila bado nikapuuzwa
 
Kama kweli unayodhamila ya dhati na maneno yako hayo ya kumbukizi ya KAMANDA WANGWE njoo tarime siku ya jumapili trh 28.7.2013 kutakuwa na shughuli mbali mbali alizowahi kufanya wangwe wakati wa uhai wake mfano kupanda miti katika shule moja wapo alizoanzisha kuwatembelea watoto yatima mwisho tutahimisha kwa mkutano wa hadhala katika uwanja wa mpira tarime mjini katika kata ya saba saba tupo tutaanzia kijijini alikozikwa kamanda nami niko tarime tayari na nimwanakamati wa zoezi hilo
 
Ongeza na wengine wanaoshikiliwa magerezani bila kupewa dhamana wakati dhamana kikatiba ni haki yao.
E.g kina sheikh farid na wenzake pia.
Wenyewe ni wapiganaji wa zanzibar huru.
 
ulitabiri kuwa slaa atamuacha mke wa ndoa aje kumuoa dada yako ikawa .kweli mtabiri tehtehteh
 
Back
Top Bottom