25 Oktoba kumchagua Lowassa

Hivi hawa jamaa hawaelewi kuwa tumewachoka au ni ubishi na kiburi tu , naona hiyo tarehe 25 mbali Mbona. L4C any day..
 
Asante mheshimiwa. Kathread katamu!!!! ( nifah na Dinazarde hebu njooni huku mtoe sapoti)
 
Last edited by a moderator:
Ahsanteee nimekubali muheshimiwa El ndio Rais wetu kuanzia Oct 25
 
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu
kazi tu wakati malipo ni kiduchu !! Sisi huyu jamaa sharti tumfunge ikulu atutumikie adhabu kali ya miaka kuwatumikia watanzania na kuinua mapato yao. KAZI TUMECHOKA.
 
Kazi Zipi Mkuu? Ndiyo Mnavyo Danganywa! Mngekuwa Na ufahamu kichwani, mngeuliza swali hili, yapo wapi Maisha bora kwa kila mtanzania?

Sidhani kama ungeandika ujinga uhu, au ungeendelea kushabikia ccm kama wewe ni mzima!
Wewe ulichoandika cha maana ni kipi? Mimi siyo CCM wala Nyumbu. Ninaona muelekeo wa Lowassa kutinga Ikulu ni zero. Ona Mnyika anavyotafuta "scapegoat" kwa Tume ya Uchaguzi, kwavile ameshajua kuwa "the game is over"! #Hapakazitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…