mnyakarema
Member
- May 27, 2013
- 16
- 11
CCM wanamshitaki Mh LOWASA kwetu wananchi kuwa ni mwizi baada ya wao kushindwa kumu hukumu: Sasa basi hukumu yetu sisi wananchi ni october 25:Ambapo sisi wananchi tutamfunga miaka 10 IKULU; Pamoja na adhabu kali ya kututumikia sisi wananchi kwa kutupa elimu ya uhakika, huduma za afya bora.na kuleta maendeleo bora kwa Tanzania nzima.
Mwananchi wahi mapema tar 25 october kumchaguwa MH LOWASA.
naunga mkono hoja kweli maana mwizi sharti apewe adhabu ya kutumikia jamii na hukumu ya Liwassa ni kumpeleka Ikulu skatutumikie kwa miaka kumi kama adhabu yake
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu
CCM wanamshitaki Mh LOWASA kwetu wananchi kuwa ni mwizi baada ya wao kushindwa kumu hukumu: Sasa basi hukumu yetu sisi wananchi ni october 25:Ambapo sisi wananchi tutamfunga miaka 10 IKULU; Pamoja na adhabu kali ya kututumikia sisi wananchi kwa kutupa elimu ya uhakika, huduma za afya bora.na kuleta maendeleo bora kwa Tanzania nzima.
Mwananchi wahi mapema tar 25 october kumchaguwa MH LOWASA.
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu
Umeme huo umerud
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu