Hili wamejifungaπ€£π€£Tunataka goli la Ronaldo, haya magoli mengine hatuwezi kuyashangilia
Miaka 40s ya nje sio kama ya Tanzania πHivi Ronaldo anamiaka 41 kweli.?
Mbona kama mwepesi sana
Miaka 40s ya nje sio kama ya Tanzania π
Chumaaaa cha 4
Huna wema πIkiwezekana magoli yote yaliyobaki wajifunge wenyewe tu
Lile lao moja?? Uliona ni la halali?Wamekera kuwakataliq lile goli uzb...duh