Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Yeah the kid is natural.Ja anajua sana japo sijawahi furahia uchezaji wake wala mwenyewe jinsi alivyo, ni aina ya wachezaji wanaojituma sana na ni washindani wasiopenda kufungwa, GSW wakilegeza anawaosha
But to mee namuona kama Russell Westbrook ajae.
Anaweza win MVP,scoring titles but ain't the ring.
Russ anajua ila attitude yake huwa inamleyea misfortune kokote anakokwenda