Sema Mimi Huwa siwakubali kabisaa hasa kwenywe kuliwakilisha bara la Africa huko world cup huwa wanaruka ruka tu wanatolewa, tofauti na timu kama Ghana,Senegal,Cameroon, Nigeria wakiingia world cup wanapambana hata wakitolewa kuna kuwaga kama Kuna kafigisu Fulani kamefanyika