Nilifikiri labda ni coach wao lakini ninaangalia profile yake ya kawaida sana. Watakuwa na ligi nzuri. St. George nawakumbuka CECAFA challenge cup sema siku hizi haina mvuto
Nilifikiri labda ni coach wao lakini ninaangalia profile yake ya kawaida sana. Watakuwa na ligi nzuri. St. George nawakumbuka CECAFA challenge cup sema siku hizi haina mvuto