Mpaka sasa kwa upande wangu mechi nilizozielewa ni ile ya Ufunguzi Cameroon vs Burkinabe, Algeria vs Siera Leone na hii inayoendelea sasa Nigeria vs Misri.
Mpaka sasa kwa upande wangu mechi nilizozielewa ni ile ya Ufunguzi Cameroon vs Burkinabe, Algeria vs Siera Leone na hii inayoendelea sasa Nigeria vs Misri.