2021 AFCON Special Thread

Point
 
Kwenye udini upo, kwenye ubaguzi upo.. waache watu washabikie timu wapendazo, na usilete ubaguzi wako hapa.
Kwa leo nakustahi, mtu alikuwa anataka timu yake ipite na ikawa imetolewa, nikasema labda ilikuwa inapita kwenda nyumbani, sasa hapa udini uko wapi? hebu fuatilia comments zangu na wadau wengine hapa pale timu tunazoshabikia zinapopata matokeo mabaya. Misimamo yako ya dini iko dhahiri, mapenzi yako kwa waarabu na dini yao ya jangwani humo yasikufanye kuquote kwenye vitu vya hovyo, siku nyingine nitakutolea uvivu.
 
Haliwezi kuwa tuta la hivyo. Yaani unamnawisha mtu makusudi.
Hii michezo Thierry Henry alikuwa anaipenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…