Sitashangaa hawa jamaa ni kinara kwenye hili kombe sio kwa bahati mbaya nakumbuka hata Final Moja wakati ule Ivory Coast ndio ilikuwa na Golden Generation majina yote makubwa jamaa waliwatoa kwa Penalties....
Kwahio mpira unadunda sisemi kwamba watashinda ila kwa mtu anayewa-write off nadhani atakuwa hajafanya upembuzi yakinifu
Sisemi kwamba watashinda ila only a person ambae hafuatilii Soccer anaweza akawa-write off the Pharaohs
Ukishafika kwenye hii stage ya mitoani sometimes experience na uhalisia kwamba ushafika hatua hizo mara kadhaa huwa ni added advantage hata kama haupo kwenye fomu.... (It has happen so many times)
Ikitokea Mafarao wamemtoa Ivory coast itakuwa uzoefu umewabeba...japo hawapewi nafasi ila waarabu wana uzoefu sana na hatua za mitoano........
Ivory coast wameonyesha mchezo mzuri sana hatua ya makundi hata kumpa kichapo kikali bingwa mtetezi.....binafsi natamani Sana wavuke ila dakika 90,120 au matuta zitaamua.
Ikitokea Mafarao wamemtoa Ivory coast itakuwa uzoefu umewabeba...japo hawapewi nafasi ila waarabu wana uzoefu sana na hatua za mitoano........
Ivory coast wameonyesha mchezo mzuri sana hatua ya makundi hata kumpa kichapo kikali bingwa mtetezi.....binafsi natamani Sana wavuke ila dakika 90,120 au matuta zitaamua.
Kuna ile Golden Generation ya kina Drogba, Toure Brothers n.k. ila kwa uzoefu wa mwarabu walikosa Kombe..., That was an opportunity missed ila kwa mwarabu hasa huyu pharaoh haikuwa ajabu (anything can happen)
Nikiwa na wenge Kagera Sugar nilikutana na Highlights za Masry na Ivory Coast ...nikaahtuka jinsi Waarabu walivokuwa wanagaragazwa 9 -3😬
Ilitokea wapi na lini hii!
Ila Kgaera hawana adabu aisee
Leo acha wauwane......nasubiri timu langu Morocco tumgalagaze anaepita.....but nilitamani mno tupangwe na cameroon or senegal tuwaonyeshe mpira unavyochezwa kwa akili, na sio kwa michongo