Msakila KABENDE
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 510
- 314
Diamond ameandaliwa Jimbo la Zitto Kabwe akamtoe pale ujiji,eti kwa vile ana ushawishi mkubwa kwa vijana na akina mama
Kilichopungua hapo ni B na I ongeza wewe!
Mzazi wangu mmoja aliye hai anaishi hapa hapa Dar. Dogo keshaimba Magufuli Baba Lao, hayo maneno wanapoyasikia vijana yakiimbwa na Diamond tayari ni kampeni yenye kujitosheleza.
Sijaona mbadala wa JPM ndani ya CCM au nje ya CCM. Wacha amalizie kipindi chake cha pili ili atuachie maendeleo ya kweli...NTAMCHAGUA MAGUFULI
Nimeisevu hii sms. Baada ya uchaguzi 2020 nitakurushia.Ccm imekwama.
Kauli hii kama yatoka kwa watu wa Kigoma basi CCM inajichimbia kaburi tuu bila kujielewa.KIGOMA mtu asicheze nayo - barabara ya Nyakanazi hadi Kigoma ni jehanamu (sisi tutaendelea kumwombea kijana wetu Mondi ili afike mbali) Lkn wanaotufanya tule mwaka mpya wa 2020 bila kulipwa fedha za pamba tutawawajibisha, wanaofukuza watoto wetu vyuo vikuu tutawajibu,
Inshort kigoma hakuna zuzu
Mzee wa maridhiano nakutakia mwaka 2020 wenye afya njema na mafanikio kwa kila utakalolifanya.Mkuu hata wewe unaliamini hilo? OK fine, kumbe CCM ni baba lao na Magufuli babalao, sasa Tuunde tume huru ya uchaguzi na vipengele kadhaa vya katiba virekebishwe tukisubiri mchakato mzima kisha tuingie uwanja huru kulicheza sebene octoba hii.
Hakika kwa maelezo yako CCM haina hata haja ya kampeni kwa jinsi ilivyo jikita kwa wananchi! Au vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya mwaka mpya mkuu Mmawia.Nawaonea sana huruma wazee wako maana hapo lumumba sidhani kama unapata hata senti ya kuwatumia kununulia senene
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya mwaka mpya mkuu Mmawia.
Naona imekuuma sana mkuu!! Pole kunywa maji upunguze stress zako.Ni dhahiri kuwa CCM na Rais Magufuli wameona sasa mambo in magumu kiasi cha kutafuta njia za ulaghai kuwa win vijana (hasa wale iliowasahau) kupata ushawishi kwa kutumia umaarufu wa wanamuziki kuwatumia.
Ni matukio ya cheap popularity inayotumika kukuta mkuu wa nchi anapanga kupiga simu katikati ya show usiku wa manane eti anawapongeza na kuwasisitiza CCM oyee wakati pale Ni burudani na sio mkutano wa CCM.
Vijana shauri yenu, miaka minne hii matumaini yenu yameingia mashaka na mwaka huu 2020 endeleeni kuimbishwa CCM oyee huku anayetumika kuwahadaa anapiga pesa ndefu nyie hadi mtazeeka na vyeti vyenu no kazi no mtaji!
Mtakaa kwa wazazi wenu mpaka mtaona mnachukiwa, mtatembeza bidhaa juani bila matumaini hadi mtazeeka na bodaboda zitawatia vilema na kuwa mzigo kwa familia kisa HUBA kwa CCM iliyowatosa na Magufuli anayejali pride yake kuwa ananunua ndege mtakazo ziona tuu angani huku zikiwa hazileti faida mkaifaidi bali kulambwa kodi kubwa ili kuzihudumia.
Shtuka kijana usipelekwe tuu kama Ling'ombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ufupi DIAMOND ni adui yenu!Ni dhahiri kuwa CCM na Rais Magufuli wameona sasa mambo in magumu kiasi cha kutafuta njia za ulaghai kuwa win vijana (hasa wale iliowasahau) kupata ushawishi kwa kutumia umaarufu wa wanamuziki kuwatumia.
Ni matukio ya cheap popularity inayotumika kukuta mkuu wa nchi anapanga kupiga simu katikati ya show usiku wa manane eti anawapongeza na kuwasisitiza CCM oyee wakati pale Ni burudani na sio mkutano wa CCM.
Vijana shauri yenu, miaka minne hii matumaini yenu yameingia mashaka na mwaka huu 2020 endeleeni kuimbishwa CCM oyee huku anayetumika kuwahadaa anapiga pesa ndefu nyie hadi mtazeeka na vyeti vyenu no kazi no mtaji!
Mtakaa kwa wazazi wenu mpaka mtaona mnachukiwa, mtatembeza bidhaa juani bila matumaini hadi mtazeeka na bodaboda zitawatia vilema na kuwa mzigo kwa familia kisa HUBA kwa CCM iliyowatosa na Magufuli anayejali pride yake kuwa ananunua ndege mtakazo ziona tuu angani huku zikiwa hazileti faida mkaifaidi bali kulambwa kodi kubwa ili kuzihudumia.
Shtuka kijana usipelekwe tuu kama Ling'ombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni dhahiri kuwa CCM na Rais Magufuli wameona sasa mambo in magumu kiasi cha kutafuta njia za ulaghai kuwa win vijana (hasa wale iliowasahau) kupata ushawishi kwa kutumia umaarufu wa wanamuziki kuwatumia.
Ni matukio ya cheap popularity inayotumika kukuta mkuu wa nchi anapanga kupiga simu katikati ya show usiku wa manane eti anawapongeza na kuwasisitiza CCM oyee wakati pale Ni burudani na sio mkutano wa CCM.
Vijana shauri yenu, miaka minne hii matumaini yenu yameingia mashaka na mwaka huu 2020 endeleeni kuimbishwa CCM oyee huku anayetumika kuwahadaa anapiga pesa ndefu nyie hadi mtazeeka na vyeti vyenu no kazi no mtaji!
Mtakaa kwa wazazi wenu mpaka mtaona mnachukiwa, mtatembeza bidhaa juani bila matumaini hadi mtazeeka na bodaboda zitawatia vilema na kuwa mzigo kwa familia kisa HUBA kwa CCM iliyowatosa na Magufuli anayejali pride yake kuwa ananunua ndege mtakazo ziona tuu angani huku zikiwa hazileti faida mkaifaidi bali kulambwa kodi kubwa ili kuzihudumia.
Shtuka kijana usipelekwe tuu kama Ling'ombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kabisa! Adui ni wewe usiye elewa kuwa tunamponya yeye na kutumiwa na mumiani na kunyonywa damu kisha wao wakishiba wanawatelekeza hao vijanaKwa ufupi DIAMOND ni adui yenu!