Ednatha
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 489
- 666
Yangu macho, tuombe uzima tupate kushuhudia huyo mfuta 'penseli'Penseli inafutika kirahisi sana
Yangu macho, tuombe uzima tupate kushuhudia huyo mfuta 'penseli'Penseli inafutika kirahisi sana
Hii ni fiction babu k.
Tulisikia ya makontena ya visu ya ngunguri sembuse na hii kitu! Hovyo kabisa nyie jamaa? Au ulikuwa hujazaliwa enzi ya ngunguri na makontena ya majambia!
bandiko lako hili lazima una matatizo, kwa akili yako unaamini cdm wakienda kuiba watakwenda na bendera yao halafu kabla hawajaiba polisi waje halafu wakimbie waache kila kitu hapo, mbona pikipiki namba haisomeki? kwa ufupi umri umeenda acha utoto.
uonevu tu,kwani ukiota ndiyo jambo linatokea? hata likitokea hiyo siyo juu yako kimsingi huhusiki na hilo jambo wewe uliota tuu.Mbona Lema alisota rumande?
Ila siku hiz haoti tena etiMbona Lema alisota rumande?
Bado viposana si unaona andiko kama hili inaonekana mhudumu kazungusha Mara NNE ivi..Hivi viroba bado vipo?
bandiko lako hili lazima una matatizo, kwa akili yako unaamini cdm wakienda kuiba watakwenda na bendera yao halafu kabla hawajaiba polisi waje halafu wakimbie waache kila kitu hapo, mbona pikipiki namba haisomeki? kwa ufupi umri umeenda acha utoto.
Je hii smg ingelikuwa imefungwa bendera ya marekani(USA),ingelimaanisha wamerekani wametuvamia,au aliekamatwa alitumwa na CIA.....
Punguza jazba, mimi nimejibu tu swali la kuota. Kwani wewe ndio unacontrol watu waote lini na waote nini?Ukiota ndo utume sms ya kumtukana RC Gambo?
Siku hizi Mbona haoti Tena ?
Mkuu tena hizo ni propaganda zilizokufa kanisaa wanazozifanya hawa jamaaa!Sioni tofauti baina ya mkuu wa police wa sasa na mahita
Yani mnatengeneza muvi kisa chadema ionekane inashirikiana na wahalifu
AmenYangu macho, tuombe uzima tupate kushuhudia huyo mfuta 'penseli'
Ni kweli mkuu!Hii ni fiction babu k.
Tulisikia ya makontena ya visu ya ngunguri sembuse na hii kitu! Hovyo kabisa nyie jamaa? Au ulikuwa hujazaliwa enzi ya ngunguri na makontena ya majambia!
