Tecnology ni audi mzee chunguza vzrAudi wanaiita practical car. Yaani inafaa saana kwa matumizi ya kila siku, ukiacha kina RS.
1. Mercedes - luxury, technology and comfort
2. BMW - the ultimate driving machine.Yaani nyingi ni sporty, very fun to drive
3. AUDI - practicality (zina space ya kutosha)
4. Lexus LS - Reliability and technology
Eeh man, thats better
Okay. Nafikiri ni bonge la experience kuangalia vile vigari. Sijui kama South Africa kuna hiyo race track. Najua kuliwahi kuwa na dereva kutoka huko.Hapana sijawahi kuona live
Huwa nafuatilia kwenye Tv tu mkuu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Saana. Au kupelekewa demokrasia na wazungu.Kama hawatarudi kwenye vita watafika mbali sana
Ila mweusi lazima wengine wakatae maendeleo na kuona wanaonewa, mara hakuna democracy
Halafu wanaanza za kuleta
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Nafikiri ndio wanataka hiyo. Japo kwa dears nafikiri wanakubali ku trade in gari la zamani unaongeza pesa unapata jipya.
Yes, ile ni mashine. Kuna jamaa mmoja nilimuona YouTube anasema lake limezidi miles milion moja. Hapo ni karibu km 1.6m na zaidi.Yeah hasa ile LS ya mwaka 1998-2003 was ahead of its time.
Kwa kweli sasa hivi AUDI wanajitahidi saana kwenye technology. Ila S Class huwa ni mwasisi wa features nyingi za kisasa.
Zitafika Bongo kwetu hizi gari kweli? Hiyo feature ya taa safi sana aise. Inasaidia saana usiku. Volvo wanakuja kwa kasi ya ajabu.Kwa kweli nimeziendesha aina zote na nimeipenda zaidi XC60 ni economy sana
Halafu ina kitu kimoja cha ajabu sana ukiwa unakata kona na taa zinafuata kama macho kabisa
Na XC90 ni hybrids ukisha charge unaenda mda halafu ukiona umeme unaisha unagusa button na inajijaza
Ila nimeipenda Xc90 ina pilot assist na kwa utundu nikaijaribu ila mwanzo inatisha huwezi amini kama itaenda peke yake
Mkuu kwa kweli Volvo cars waache wajisifie kwa usalama wake
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hehehee. Tutafika tuu.Tumeshaanza kuwa na plant, tunapaka ndege rangi kwa bei karibu na bure. Soon KLM wataanza kuleta midege yao huku tuipake rangi.
Hii ni Tz ya viwanda na uchumi unapaa (4% sio haba mabepari wanatuonea wivu mkuu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, lazima viwandani mafuta yatatumika tuu. Japo watakuwa affected saana. Maana magari yanayatumia kwa kiwango kikubwa saana. China very soon watawafunika wazungu kwenye karibu kila kitu kiuchumi.Halafu kweli, umeme kwao sio tatizo kabisa...ila waarabu sidhani kama wataacha kuuza mafuta kabisa japo soko la wese litayumba kiaina. Kuna makampuni mengi yenye machine na mitambo inayohitaji mafuta, Heavy duty vehicles na ndege pia zitaendelea kutumia wese.
China kwa technology wapo juu sana kwa sasa. Wasiwasi wangu battery zitaanza kuuzwa gharama sana. Ule umuhimu wa energy conserving ndio utafanya aina flani za battery zinzotumika kwenye gari kuwa very expensive.
Yes. Unacharge Mwanza, then jioni ukiwa Moro unacharge ya kumaliza kipande cha Moro Dsm. Itakuwa poa saana.Hahaha hili la soko lao la mafuta kuyumba ni swala la muda tu! Wakifikia efficiency hio hizo gari zitakuwa so convenient. Walau gari iweze kukamilisha 1000 km in a single charge which takes less than 30 mins.
Hehehee, mpaka Range Rover. Kuna hybrid moja niliona wanaitangaza.Na kweli mkuu mwafrika anaapa kuliangamiza continent lake kwa kila namna
Yaani hatutaki maendeleo wala hatupendani na kama ni dawa tulipewa ya kuwa na roho ya hivyo basi jamaa wana akili sana
Sisi kila kauli ni ubabe au ya kumkandamiza mwananchi tu lakini maendeleo ni sifuri
Haya EV cars 2019 Audi ametoa 100% electric na Benz, Mini, Nissan leaf, BMW wote wameisha toa 100% electric
Lakini mkuu kama ni umeme zinakimbia sana ila tatizo hazina sauti kabisa
Hapo yakija huko honi lazima ziongezeke kwa sana
Mkuu Africa watu sijui laana ya wapi imetupata yaani kuendelea ni mwiko kwetu kabisa
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Nitaitafuta hii Benz EQC4 niifahamu aise. Tesla wakipata mshindani wa maana bei zake zitashuka. Maana kwa sasa mmmh, sio gari za watu wa kawaida.Tesla motors sahivi kazi wanayo! Maana huo mfumo utakuwa kama android alivyokuja kumuangamiza Symbian na Java kwenye Nokia. Sahivi kila kampuni linapambana kutengeneza EV!
Nmeiona ile Benz EQC4 kama sijakosea..imesimama kuanzia styling mpaka ride quality reviewers wanasema its all quiet in the Cabin. Maybe wabongo tutahamia benz sasa maana zile purukushani za kujaza V8's or V12's ilikuwa ligi kubwa. Ila hizi EV atleast kila mtu ana umeme kwake tutachaji tu kama simu.
Ila kwenye sauti hapo inabidi watutengenezee simulator za engine sounds tunazotaka ziwe zinapiga kwa speakers za redio ndani. Maana gari bila muungurumo ndio inakuwaje sasa, yani unakuwa kama unaendesha toy!
Nafuatilia sana na ninamkubali Lewis HamiltonOkay. Nafikiri ni bonge la experience kuangalia vile vigari. Sijui kama South Africa kuna hiyo race track. Najua kuliwahi kuwa na dereva kutoka huko.
Yes, jamaa kwa kweli amepambana sana. Mwaka huu naona ameanza vizuri. Anaweza kuchukua tena kama asipozingua hapo mbele.Nafuatilia sana na ninamkubali Lewis Hamilton
Mtoto alianza na miaka 5 mpaka kuwa champion
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kidogo ni ngumu kuielewa lakini ukiishazoea haina shida kabisa na hiyo infotainment yake ni nzuriZitafika Bongo kwetu hizi gari kweli? Hiyo feature ya taa safi sana aise. Inasaidia saana usiku. Volvo wanakuja kwa kasi ya ajabu.
Ni mkali kwa kweli na anapambana kweliYes, jamaa kwa kweli amepambana sana. Mwaka huu naona ameanza vizuri. Anaweza kuchukua tena kama asipozingua hapo mbele.
Unajua miaka 100 iliyopita magari ya umeme yalitengenezwa na yalikuwepo ila biashara ya mafuta ilipoanza tu wakaona huko ndio kwenye faida zaidaHehehee, mpaka Range Rover. Kuna hybrid moja niliona wanaitangaza.
Wanasema DNA ya gari ni Audi
Cheki humuNitaitafuta hii Benz EQC4 niifahamu aise. Tesla wakipata mshindani wa maana bei zake zitashuka. Maana kwa sasa mmmh, sio gari za watu wa kawaida.