Moderator kachemka sana sio tu kwenye hilo unalosema, kwanza alikuwa biased kuanzia kwenye maswali hadi time limit ya kujibu maswali.Mwongoza mdahalo kuna mda akachemka sana ni kama trump alikuwa anadictate mdahalo uweje...moderator alishindwa kumdhibit trump
Na siyo hiyo tu angalia na hawa hapa wengine CNBC nao wana matokeo yao.Unajua ukiwa mtu wa hizi "polls" ambazo haziamui chochote unaweza kuwehuka kabisa.
Sasa hebu ona hiyo instant poll ya Drudge. Hata poll ya Time magazine nayo inasema eti Trump kashinda😀.
*DRUDGE POLL** WHO WON THE FIRST PRESIDENTIAL DEBATE?
TRUMP 80.81% (123,783 votes)
CLINTON 19.19% (29,398 votes)
Total Votes: 153,181
Ile Nchi jinsi ya kundi kubwa la watu wake walivyo sishangai kuskia Trump anaongoza.Hahaaa...good thing you caught yourself coz I was gonna ask you the same thing.
Like, what did you really expect from him?
Lakini...kumbuka pia hata Romney alimgaragaza Obama kwenye debate ya kwanza.
Just thought I'd throw it out there....
Yeah! Without any doubt. 🙂🙂🙂 but there is still more to be done between now and November 8th...Get out the vote campaign is very important. Go! Hillary Go!
...and I think the President will hit the campaign trail soon.
Na siyo hiyo tu angalia na hawa hapa wengine CNBC nao wana matokeo yao.
Watu wanashindwa kuelewa hizi media zimegawana wagombea na kila mmoja anachofanya ni kumpaisha wa kwake.
Tena kama hao CCN ndio wako desperated since day one.View attachment 407717
Analalama kuhusu nini hasa?Sasa kama kashinda kwa margin kubwa hivyo kwanini alalame badala ya kusherehekea!?
http://m.huffpost.com/us/entry/dond...2?ncid=fcbklnkushpmg00000013§ion=politics
Yes of course, the whole World don't need Trump as POTUS.
Kwi kwi kwi kwi lol!
http://m.huffpost.com/us/entry/dondal-trump-attacks-lester holt_us_57ea5510e4b024a52d2a6852?ncid=fcbklnkushpmg00000013§ion=politics
Hehehe, Trump bana.
From, "Lester did a great job" to C+, to "he was unfair to me" halafu anamalizia kusema he's not complaining. 😀
Anatafuta mchawi kumbe kajiroga mwenyewe lol!! Kwi kwi kwi si aseme tu kwamba alivurunda tena vibaya sana.
Kui kui..ungekuwa daktari wagonjwa wasngekufaHehe, kajiroga mwenyewe. Naona hii shughuli kama vile ngumu kiasi kwake, he's the boss na amezoea ku boss people around, now he's bossed around when he's asked questions and forced to convince people that he's capable of doing the job.
Alivurunda vibaya Itabidi wamu andae vizuri for the 2nd round. Kama anaandalika sasa.
Analalama kuhusu nini hasa?
Na hata akilalama kwanin isiwe ni jambo la kawaida kama kulikuwepo na kasoro za wazi wazi kwenye mdaharo ambazo zilionekana kumkandamiza yeye?
Kwanza utaanzaje kusherekea debate ya kwanza tu.
Afterall in my opinion Trump killed hillary at the begining of debate in trade plans,tax proposal and economy as whole and these are what majority of americans really care about.
Hehe, kajiroga mwenyewe. Naona hii shughuli kama vile ngumu kiasi kwake, he's the boss na amezoea ku boss people around, now he's bossed around when he's asked questions and forced to convince people that he's capable of doing the job.
Alivurunda vibaya Itabidi wamu andae vizuri for the 2nd round. Kama anaandalika sasa.
Yeah.. i got a clue about the whole of it, thats why i put my annotation as you see... Trump's credits was immersely counted for the economic issues prepared plans... job creation,his tax cut proposal,debt reduction,rebirth of manufacturing sector from oversees,his handlings of racial challenges etc.Just to remind you that yesterday's debate was for 90 minutes. US Presidential candidates are expected to perform well for 90 minutes and not just at the beginning of the debate.
Yeah.. i got a clue about the whole of it, thats why i put my annotation as you see... Trump's credits was immersely counted for the economic issues prepared plans... job creation,his tax cut proposal,debt reduction,rebirth of manufacturing sector from oversees,his handlings of racial challenges etc.
And these are what actually majority of people pay alots attention for, they don need political experience or someone who has ever travelled to 112 countries.
The consequences of growing up as a spoilt brat, he is not used of being told off, what he knows is just how to tell people off.Hehe, kajiroga mwenyewe. Naona hii shughuli kama vile ngumu kiasi kwake, he's the boss na amezoea ku boss people around, now he's bossed around when he's asked questions and forced to convince people that he's capable of doing the job.
Alivurunda vibaya Itabidi wamu andae vizuri for the 2nd round. Kama anaandalika sasa.
...ofcoz he had fabulous starting and that gave me a big hope, but as soon as he started to overreact,lose his temperament stability and constantly interrupt clinton.. things seemingly turned into other way around.....And you expected him to win that debate because he was able to do well in 10 minutes or so and MIA for the rest of the debate!?
Wasi wasi wangu wanaweza kumuandaa kupita kiasi hivyo akawa anajaribu kukumbuka maandalizi, nini aseme vipi ashambulie vipi asimame etc akijastuka 90 minutes zimeyoyoma anabaki anang'aa macho na kuanza tena juhudi za kumtafuta mchawi wake, labda next time anaweza kusema I was over prepared that was not me at all...Trump just need to be trump fly like a butterfly and sting like a bee lol! hahahahahaha