johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,108
Ngoja niwahi kucomment..kwani CCM kuchagua Secretariat mpya ndio imeimarika kweli? Kama mwanaCCM halisi sio maslahi nasema hivi..kipimo cha kuimarika Chama ni uchaguzi ujao 2017 katika matawi na mashina. Maana rushwa ndani ya Chama IPO kwa wanachama na imepelekwa na viongozi wa Chama. Wanachama wanachagua kwa mtazamo wa kipi utampa na sio vipi atatumikiwa maana anajua kiongozi wanataka uongozi ili kupata kufanya biashara zao kwa wizi..Nataka kupima speed ya Mwenyekiti wetu mpya na hii rushwa iliyozoeshwa kwa mwanachama wetu ambayo hata Takukuru wanaogopa kuwafuatilia kutokana na mfuko wa katiba ulivyo.CCM imepata uongozi mpya pamoja na sekretarieti. Halikadhalika iko katika hatua muhimu za kurekebisha muundo wa chama ikiwemo kupunguza idadi ya wajumbe wa NEC, haya ni mafanikio makubwa.
UKAWA wao wako busy kushughulika na lipumba ambaye amerejea chamani akiwa na mtazamo tofauti kabisa. Lakini nguvu ya Lowassa imewameza kabisa UKAWA maana hata kule CHADEMA huwezi kumjua Mwenyekiti wala Katibu Mkuu wote wamefunikwa.
NCCR ni kama vile wanagawana mbao wakati CUF wao ni bara na pwani. Sipati picha siku ambayo kwa ghafla Edward Lowassa atarejea CCM, sijui hali itakuwaje maana siku hiyo ipo na inakuja.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Mkuu Magimbi kama mwenyekiti ameweza kuipasua Nec katikati basi hakuna litakalomshinda.Watoa rushwa ni wale waliokuwa wanaamini ktk "mtu" siyo chama,sasa siasa hizi za kiswahili Magufuli anazisambaratisha.Amini maneno yangu CCM inaenda kuzaliwa upya hizo changamoto za uchaguzi wa 2017 tayari kina HP wameanza kuzishughulikia.Ngoja niwahi kucomment..kwani CCM kuchagua Secretariat mpya ndio imeimarika kweli? Kama mwanaCCM halisi sio maslahi nasema hivi..kipimo cha kuimarika Chama ni uchaguzi ujao 2017 katika matawi na mashina. Maana rushwa ndani ya Chama IPO kwa wanachama na imepelekwa na viongozi wa Chama. Wanachama wanachagua kwa mtazamo wa kipi utampa na sio vipi atatumikiwa maana anajua kiongozi wanataka uongozi ili kupata kufanya biashara zao kwa wizi..Nataka kupima speed ya Mwenyekiti wetu mpya na hii rushwa iliyozoeshwa kwa mwanachama wetu ambayo hata Takukuru wanaogopa kuwafuatilia kutokana na mfuko wa katiba ulivyo.
Karibu sanaBaada ya masaa 48 nitahesabu both negative na postive comments juu ya huu uzi na nitaleta marejesho
Chamadola kitakosaje pesa nieleweshe vizuri! Maana chamadola hakitenganishiki na serikali atiMtizamo hafifu,hichochama kimepoteza watu kwa maamuzi ya kubana,sera za kijamaa hazinamashiko kwasasa. Kingebaki kuajir watuwengi Ila wasiibe kwani chama niwatu! Hapo baadae hali itakua mbaya kitakosa pesa na wadhamini nawatu Pia kwenye ile 58% zaushindi zitapungua 18%. Mwenezi mwenyewe kapoteza umaarufu na katibu mkuu hatumwoni kulima au kujenga anasubiri 2020 hahahaaa
Kweli ccm imeimarika kwa kupola demokrasia nchini na kuvigeuza vyombo vya dola kuwa Mali yao na siyawananchi.Siku hizi vyombo vya dola vinailinda zaidi ccm kuliko wananchi na Mali zao.CCM imepata uongozi mpya pamoja na sekretarieti. Halikadhalika iko katika hatua muhimu za kurekebisha muundo wa chama ikiwemo kupunguza idadi ya wajumbe wa NEC, haya ni mafanikio makubwa.
UKAWA wao wako busy kushughulika na lipumba ambaye amerejea chamani akiwa na mtazamo tofauti kabisa. Lakini nguvu ya Lowassa imewameza kabisa UKAWA maana hata kule CHADEMA huwezi kumjua Mwenyekiti wala Katibu Mkuu wote wamefunikwa.
NCCR ni kama vile wanagawana mbao wakati CUF wao ni bara na pwani. Sipati picha siku ambayo kwa ghafla Edward Lowassa atarejea CCM, sijui hali itakuwaje maana siku hiyo ipo na inakuja.
Mwenye macho haambiwi tazama.
Rambirambi ni kwa ajili ya waliokufa siyo wazima.Labda kama unazungumzia maafa,hilo linaendelea kufanyiwa kazi na ofisi ya PMrudisheni hata nusu ya rambirambi za wahanga bukoba watu wanakufa njaa.ccm hamuoni hilo?
swissme
sasa kma kweli kimebadilika (ingawa najua ni uongo tu) ina maana 2020 rushwa mtaacha so hta za pesa kuhonga wapigakura mtakosa naona mwisho wa ccm unakuja maana mlizoea kuhonga watu cjui kutoa tshirt na kofia ssa mkibanwa ina maana 2020 nini kitawabeba tena hasa huko vijijini ???Mkuu Magimbi kama mwenyekiti ameweza kuipasua Nec katikati basi hakuna litakalomshinda.Watoa rushwa ni wale waliokuwa wanaamini ktk "mtu" siyo chama,sasa siasa hizi za kiswahili Magufuli anazisambaratisha.Amini maneno yangu CCM inaenda kuzaliwa upya hizo changamoto za uchaguzi wa 2017 tayari kina HP wameanza kuzishughulikia.
Kwahiyo wewe ni mwanafamilia unayesubiria rambirambi za marehemu au wewe ni "masalia" ya tetemeko unayetazamia serikali ikurekebishie miundombinu iliyoathirika?Au wewe ni MWIZI unayetaka kuvuna usipopanda?!!!!kwani hao waliokufa hawana watoto na familia zao mwizi mkubwa wewe.
swissme
Mkuu Magimbi kama mwenyekiti ameweza kuipasua Nec katikati basi hakuna litakalomshinda.Watoa rushwa ni wale waliokuwa wanaamini ktk "mtu" siyo chama,sasa siasa hizi za kiswahili Magufuli anazisambaratisha.Amini maneno yangu CCM inaenda kuzaliwa upya hizo changamoto za uchaguzi wa 2017 tayari kina HP wameanza kuzishughulikia.