Uchaguzi 2020 Tokea Tanzania ianzishe mfumo wa vyama vingi, uchaguzi wa mwaka huu utakuwa rahisi kwa CCM na itashinda kwa 100% ngazi ya urais

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Ukilinganisha na uchaguzi wa kwanza nchi yetu ikiwa inafuata mfumo wa vyama vingi mwaka 1995 chama cha upinzani kikubwa wakati huo kilileta upinzani na hata CCM iliogopa maana Nccr mageuzi ilikuwa almanusra wachukue nchi.

Ukaja uchaguzi wa mwaka 2000 CCM walijipanga kivingine hivyo walishinda bila kuwa na misukosuko kama ya mwaka 1995. Maana hata Nccr Mageuzi ilikuwa imeshatetereka.

Na hii ni baada ya CCM kujaribu kurekebisha makosa yake na kutekeleza ilani yake vizuri. Maana hiki ndicho kipindi hata miundo mbinu mingi ilianza kujengwa, mfano barabara ya kuelekea kusini na daraja la mkapa ambalo lilikuwa kwa wananchi kabla ya kujengwa kero.

Na hiki ndio kipindi aliyekuwa waziri wa Ujenzi wakati huo maarufu kama askari wa mwamvuli alidiriki kusema, watu watapanda taxii toka mtwara mpaka Bukoba mkoani kagera.Kwa hiyo CCM ilijrekebisha hadi baadhi ya nchi wahisani walidiriki kufuta madeni ya nchi yetu maana hata uwazi na ukweli katika matumizi ya pesa ya umma ulibadilika tofauti na awamu iliyopita.

Uchaguzi wa 2005 CCM iligawanyika tena sana. Na wajanja wachache wakatengeneza mtandao na mgombea wao akachukua nchi.Na hawakupata upinzani mkali sana.

Uchaguzi wa wa 2010 ulikuwa mgumu kiasi kwa CCM maana sio siri watu walifanya ufisadi mbaya sana. Nchi ilikuwa kama ya kundi fulani ambao wao ni kujichotea pesa tu. Maana stori zilikuwa ni Epa,Escrow n.k

Uchaguzi wa 2015 ulikuwa na ugumu kiduchu kwa CCM maana ilikuwa imechafuliwa na watu wabaya. Na hapo ndipo busara ikatumika ili kumuweka mgombea ambae ni msafi, hata fomu alichukua kimya kimya na hata kuzunguka kwenda kutafuta wadhamini mikoani alienda kimya kimya.

Kwa uzalendo wake alionao alipochaguliwa tu akaanza kudhibiti ubadhirifu na ufisadi,akaanza kujenga Zahanati,vituo vya afya,madaraja na miradi kama Sgr na JNHHP. Na kwa mantiki hiyo akawa ameua kabisa nguvu za upinzani.

Maana wao ili wapate umaarufu ni kuibua ufisadi tu,sasa hizo habari hazipo.

Uchaguzi wa mwaka huu 2020 kwa ngazi ya urais JPM anakwenda kushinda kwa 100%/ ni kama tembo anakanyaga sisimizi.
 
Ukilinganisha na uchaguzi wa kwanza nchi yetu ikiwa inafuata mfumo wa vyama vingi mwaka 1995 chama cha upinzani kikubwa wakati huo kilileta upinzani na hata CCM iliogopa maana Nccr mageuzi ilikuwa almanusra wachukue nchi.
Ukaja uchaguzi wa mwaka 2002 CCM walijipanga kivingine hivyo walishinda bila kuwa na misukosuko kama ya mwaka 1995. Maana hata Nccr Mageuzi ilikuwa imeshatetereka. Na hii ni baada ya CCM kujaribu kurekebisha makosa yake na kutekeleza ilani yake vizuri. Maana hiki ndicho kipindi hata miundo mbinu mingi ilianza kujengwa, mfano barabara ya kuelekea kusini na daraja la mkapa ambalo lilikuwa kero. Na hiki ndio kipindi aliyekuwa waziri wa Ujenzi wakati huo maarufu kama askari wa mwamvuli alidiriki kusema, watu watapanda taxii toka mtwara mpaka Bukoba mkoani kagera.Kwa hiyo CCM ilijrekebisha hadi baadhi ya nchi wahisani walidiriki kufuta madeni ya nchi yetu maana hata uwazi na ukweli katika matumizi ya pesa ya umma ulibadilika tofauti na awamu iliyopita.
Uchaguzi wa 2005 CCM iligawanyika tena sana. Na wajanja wachache wakatengeneza mtandao na mgombea wao akachukua nchi.Na hawakupata upinzani mkali sana.

Uchaguzi wa wa 2010 ulikuwa mgumu kiasi kwa CCM maana sio siri watu walifanya ufisadi mbaya sana. Nchi ilikuwa kama ya kundi fulani ambao wao ni kujichotea pesa tu. Maana stori zilikuwa ni Epa,Escrow n.k
Uchaguzi wa 2015 ulikuwa na ugumu kiduchu kwa CCM maana ilikuwa imechafuliwa na watu wabaya. Na hapo ndipo busara ikatumika ili kumuweka mgombea ambae ni msafi, hata fomu alichukua kimya kimya na hata kuzunguka kwenda kutafuta wadhamini mikoani alienda kimya kimya.
Kwa uzalendo wake alionao alipochaguliwa tu akaanza kudhibiti ubadhirifu na ufisadi,akaanza kujenga Zahanati,vituo vya afya,madaraja na miradi kama Sgr na JNHHP. Na kwa mantiki hiyo akawa ameua kabisa nguvu za upinzani. Maana wao ili wapate umaarufu ni kuibua ufisadi tu,sasa hizo habari hazipo.
Uchaguzi wa mwaka huu 2020 kwa ngazi ya urais JPM anakwenda kushinda kwa 100%/ ni kama tembo anakanyaga sisimizi.

JPM hawezi siasa za ushindani, kikubwa alicho nacho ni kiburi cha madaraka. Uchaguzi wa mwaka huu bila tume huru ya uchaguzi, ni kipimo halisi cha ujinga wa mtu mweusi anapokuwa anataka madaraka.
 
Na ishinde Tu, Vyama tulivyokuwa tunavitegemea, vimeamua kuchagua upande wa laana bhana!!!

Chama gani havijui hata mipaka ya nini waseme na nini wasiseme!!

Wanaombea Corona iwauwe wazee wetu wote Kwa kuwa wazee eti huipigia Kura CCM, haijalishi hata wakifa wazazi wao, ni wa nini sasa hawa watu wasiopenda watu waishi

Wanatukana maombi ya Watanzania waliyoyaomba Kwa Mungu ili Corona itupite Mbali, wa nini sasa hawa watu!

Hawajahi kuona hata jema ingawa ndege hata wao wanazipanda, Hawajali hata uwepo wa ubia wakampuni yetu mpya ya madini wao ni kuzodoa Tu utadhani wao watakuja na malaika atakaye leta mema tu bila kasoro, Kwanza waelewe kabisa, Sisi hatutaki kiongozi atakaye Fanya yote yasiwe na kasoro, Kwa sababu mtu wa Aina hiyo hajawahi kuwepo duniani, na Chama cha Aina hiyo hatukitaki,
 
Usilete habari za tume huru wakati ipo huru. Upinzani umekosa hoja za kupambana na JPM

Narudia tena JPM hataki ushindani, na hata kama akitaka hana uwezo wa kushindana kwa hoja, zaidi ya kutumia madaraka yake kulazimisha kutangazwa mshindi. Hata alivyokuwa mbunge alikuwa hashindi kwa kura. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi ili mshindi halali ndio atangazwe, na sio mshindi kutangazwa kisa ana madaraka.
 
Narudia tena JPM hataki ushindani, na hata kama akitaka hana uwezo wa kushindana kwa hoja, zaidi ya kutumia madaraka yake kulazimisha kutangazwa mshindi. Hata alivyokuwa mbunge alikuwa hashindi kwa kura. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi ili mshindi halali ndio atangazwe, na sio mshindi kutangazwa kisa ana madaraka.
Alipokuwa mbunge kipindi chote alipita bila kupingwa.
 
Mkuu unayo sema ni kweli kabisa ila chumvi kidogo umeongeza kwenye asilimia (% ) haiwezi kufika 100.

Hadi zile kura zilizo haribika zitahesabiwa za CCM....

Pia inawezekana % zikazidi 100 maana kura zitapigwa nyingi kuliko watu waliojiandikisha... Chezea CCM!
 
Kuna mambo mengi tu yakumtoa jasho jamaa yako, sema hulka yake ya kibabe ndio inayoweza kumbeba, anzia upotevu wa trilion 1.5 mpaka leo hazikupata majibu, njoo na hili la Corona ameshindwa kuli-handle kabisa, bado lile la kuwaambia wakurugenzi watapoteza kazi wakimtangaza mpinzani mshindi, na mengine mengi tu.

Then, wewe unasema atashinda kwa 100%,
anaweza shinda kwa percentage hizo kama walivyofanya ubabe wao kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, but uchaguzi ukiwa "fair" hata kwa tume hii iliyopo, hawezi kushinda hata kwa asilimia 80.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kushinda aailimia 80 na kuendelea sio sifa..
Ni uthibitisho demokrasia hakuna ..

Wanaojielewa na kujiheshimu wakishinda Kwa asilimia 80 au zaidi wanajua ni kashfa kubwa..
Wala sio Jambo la kushangilia..

Taifa likiwa na mambumbumbu wengi ndo mtaona sio kashfa

Hata Mandela hakuwahi kupata asilimia 80
Achilia mbali hizo 100 mnazotafuta
 
Ukilinganisha na uchaguzi wa kwanza nchi yetu ikiwa inafuata mfumo wa vyama vingi mwaka 1995 chama cha upinzani kikubwa wakati huo kilileta upinzani na hata CCM iliogopa maana Nccr mageuzi ilikuwa almanusra wachukue nchi.

Ukaja uchaguzi wa mwaka 2002 CCM walijipanga kivingine hivyo walishinda bila kuwa na misukosuko kama ya mwaka 1995. Maana hata Nccr Mageuzi ilikuwa imeshatetereka.

Na hii ni baada ya CCM kujaribu kurekebisha makosa yake na kutekeleza ilani yake vizuri. Maana hiki ndicho kipindi hata miundo mbinu mingi ilianza kujengwa, mfano barabara ya kuelekea kusini na daraja la mkapa ambalo lilikuwa kero.

Na hiki ndio kipindi aliyekuwa waziri wa Ujenzi wakati huo maarufu kama askari wa mwamvuli alidiriki kusema, watu watapanda taxii toka mtwara mpaka Bukoba mkoani kagera.Kwa hiyo CCM ilijrekebisha hadi baadhi ya nchi wahisani walidiriki kufuta madeni ya nchi yetu maana hata uwazi na ukweli katika matumizi ya pesa ya umma ulibadilika tofauti na awamu iliyopita.

Uchaguzi wa 2005 CCM iligawanyika tena sana. Na wajanja wachache wakatengeneza mtandao na mgombea wao akachukua nchi.Na hawakupata upinzani mkali sana.

Uchaguzi wa wa 2010 ulikuwa mgumu kiasi kwa CCM maana sio siri watu walifanya ufisadi mbaya sana. Nchi ilikuwa kama ya kundi fulani ambao wao ni kujichotea pesa tu. Maana stori zilikuwa ni Epa,Escrow n.k

Uchaguzi wa 2015 ulikuwa na ugumu kiduchu kwa CCM maana ilikuwa imechafuliwa na watu wabaya. Na hapo ndipo busara ikatumika ili kumuweka mgombea ambae ni msafi, hata fomu alichukua kimya kimya na hata kuzunguka kwenda kutafuta wadhamini mikoani alienda kimya kimya.

Kwa uzalendo wake alionao alipochaguliwa tu akaanza kudhibiti ubadhirifu na ufisadi,akaanza kujenga Zahanati,vituo vya afya,madaraja na miradi kama Sgr na JNHHP. Na kwa mantiki hiyo akawa ameua kabisa nguvu za upinzani.

Maana wao ili wapate umaarufu ni kuibua ufisadi tu,sasa hizo habari hazipo.

Uchaguzi wa mwaka huu 2020 kwa ngazi ya urais JPM anakwenda kushinda kwa 100%/ ni kama tembo anakanyaga sisimizi.
Sijasoma post yako.
Ila heading inaonyesha kuwa umeanidka taka taka.

Tuwekeeni Tume huru ya uchaguzi.
Muone kama huyo baba yene wa chato si atachinjwa mchana kweupe.
Nchi itaenda ACT wazalendo
 
Narudia tena JPM hataki ushindani, na hata kama akitaka hana uwezo wa kushindana kwa hoja, zaidi ya kutumia madaraka yake kulazimisha kutangazwa mshindi. Hata alivyokuwa mbunge alikuwa hashindi kwa kura. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi ili mshindi halali ndio atangazwe, na sio mshindi kutangazwa kisa ana madaraka.
Kwa hivyo hii tume imeundwa juzijuzi baada ya JPM kuchukuq madaraka?

Alafu ni ujuha kuota tume huru miezi 5 kabla ya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kushinda aailimia 80 na kuendelea sio sifa..
Ni uthibitisho demokrasia hakuna ..

Wanaojielewa na kujiheshimu wakishinda Kwa asilimia 80 au zaidi wanajua ni kashfa kubwa..
Wala sio Jambo la kushangilia..

Taifa likiwa na mambumbumbu wengi ndo mtaona sio kashfa

Hata Mandela hakuwahi kupata asilimia 80
Achilia mbali hizo 100 mnazotafuta
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, amesahau kitu kimoja.Na tokea Nchi hii ipate Uhuru haijawahi kutokea, vyama vya upinzani kupigwa malufuku kufanya mikutano ya kisiasa kwa WANANCHI.
Havijapigwa marufuku,ruhusa ipo ila mfanye kwenye majimbo ya wabunge wenu. Ni kwa manufaa ya umma. Ili kazi zifanyike na wewe nafikiri umeona.
 
Back
Top Bottom