2016 mwaka wa kihistoria, CCM yaimarika na UKAWA majanga

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,539
CCM imepata uongozi mpya pamoja na sekretarieti. Halikadhalika iko katika hatua muhimu za kurekebisha muundo wa chama ikiwemo kupunguza idadi ya wajumbe wa NEC, haya ni mafanikio makubwa.

UKAWA wao wako busy kushughulika na lipumba ambaye amerejea chamani akiwa na mtazamo tofauti kabisa. Lakini nguvu ya Lowassa imewameza kabisa UKAWA maana hata kule CHADEMA huwezi kumjua Mwenyekiti wala Katibu Mkuu wote wamefunikwa.

NCCR ni kama vile wanagawana mbao wakati CUF wao ni bara na pwani. Sipati picha siku ambayo kwa ghafla Edward Lowassa atarejea CCM, sijui hali itakuwaje maana siku hiyo ipo na inakuja.

Mwenye macho haambiwi tazama.
 
CCM imepata uongozi mpya pamoja na sekretarieti. Halikadhalika iko katika hatua muhimu za kurekebisha muundo wa chama ikiwemo kupunguza idadi ya wajumbe wa NEC, haya ni mafanikio makubwa.

UKAWA wao wako busy kushughulika na lipumba ambaye amerejea chamani akiwa na mtazamo tofauti kabisa. Lakini nguvu ya Lowassa imewameza kabisa UKAWA maana hata kule CHADEMA huwezi kumjua Mwenyekiti wala Katibu Mkuu wote wamefunikwa.

NCCR ni kama vile wanagawana mbao wakati CUF wao ni bara na pwani. Sipati picha siku ambayo kwa ghafla Edward Lowassa atarejea CCM, sijui hali itakuwaje maana siku hiyo ipo na inakuja.

Mwenye macho haambiwi tazama.
Ngoja niwahi kucomment..kwani CCM kuchagua Secretariat mpya ndio imeimarika kweli? Kama mwanaCCM halisi sio maslahi nasema hivi..kipimo cha kuimarika Chama ni uchaguzi ujao 2017 katika matawi na mashina. Maana rushwa ndani ya Chama IPO kwa wanachama na imepelekwa na viongozi wa Chama. Wanachama wanachagua kwa mtazamo wa kipi utampa na sio vipi atatumikiwa maana anajua kiongozi wanataka uongozi ili kupata kufanya biashara zao kwa wizi..Nataka kupima speed ya Mwenyekiti wetu mpya na hii rushwa iliyozoeshwa kwa mwanachama wetu ambayo hata Takukuru wanaogopa kuwafuatilia kutokana na mfuko wa katiba ulivyo.
 
Mtizamo hafifu,hichochama kimepoteza watu kwa maamuzi ya kubana,sera za kijamaa hazinamashiko kwasasa. Kingebaki kuajir watuwengi Ila wasiibe kwani chama niwatu! Hapo baadae hali itakua mbaya kitakosa pesa na wadhamini nawatu Pia kwenye ile 58% zaushindi zitapungua 18%. Mwenezi mwenyewe kapoteza umaarufu na katibu mkuu hatumwoni kulima au kujenga anasubiri 2020 hahahaaa
 
Baada ya masaa 48 nitahesabu both negative na postive comments juu ya huu uzi na nitaleta marejesho
 
Ngoja niwahi kucomment..kwani CCM kuchagua Secretariat mpya ndio imeimarika kweli? Kama mwanaCCM halisi sio maslahi nasema hivi..kipimo cha kuimarika Chama ni uchaguzi ujao 2017 katika matawi na mashina. Maana rushwa ndani ya Chama IPO kwa wanachama na imepelekwa na viongozi wa Chama. Wanachama wanachagua kwa mtazamo wa kipi utampa na sio vipi atatumikiwa maana anajua kiongozi wanataka uongozi ili kupata kufanya biashara zao kwa wizi..Nataka kupima speed ya Mwenyekiti wetu mpya na hii rushwa iliyozoeshwa kwa mwanachama wetu ambayo hata Takukuru wanaogopa kuwafuatilia kutokana na mfuko wa katiba ulivyo.
Mkuu Magimbi kama mwenyekiti ameweza kuipasua Nec katikati basi hakuna litakalomshinda.Watoa rushwa ni wale waliokuwa wanaamini ktk "mtu" siyo chama,sasa siasa hizi za kiswahili Magufuli anazisambaratisha.Amini maneno yangu CCM inaenda kuzaliwa upya hizo changamoto za uchaguzi wa 2017 tayari kina HP wameanza kuzishughulikia.
 
Mtizamo hafifu,hichochama kimepoteza watu kwa maamuzi ya kubana,sera za kijamaa hazinamashiko kwasasa. Kingebaki kuajir watuwengi Ila wasiibe kwani chama niwatu! Hapo baadae hali itakua mbaya kitakosa pesa na wadhamini nawatu Pia kwenye ile 58% zaushindi zitapungua 18%. Mwenezi mwenyewe kapoteza umaarufu na katibu mkuu hatumwoni kulima au kujenga anasubiri 2020 hahahaaa
Chamadola kitakosaje pesa nieleweshe vizuri! Maana chamadola hakitenganishiki na serikali ati
 
CCM imepata uongozi mpya pamoja na sekretarieti. Halikadhalika iko katika hatua muhimu za kurekebisha muundo wa chama ikiwemo kupunguza idadi ya wajumbe wa NEC, haya ni mafanikio makubwa.

UKAWA wao wako busy kushughulika na lipumba ambaye amerejea chamani akiwa na mtazamo tofauti kabisa. Lakini nguvu ya Lowassa imewameza kabisa UKAWA maana hata kule CHADEMA huwezi kumjua Mwenyekiti wala Katibu Mkuu wote wamefunikwa.

NCCR ni kama vile wanagawana mbao wakati CUF wao ni bara na pwani. Sipati picha siku ambayo kwa ghafla Edward Lowassa atarejea CCM, sijui hali itakuwaje maana siku hiyo ipo na inakuja.

Mwenye macho haambiwi tazama.
Kweli ccm imeimarika kwa kupola demokrasia nchini na kuvigeuza vyombo vya dola kuwa Mali yao na siyawananchi.Siku hizi vyombo vya dola vinailinda zaidi ccm kuliko wananchi na Mali zao.
 
rudisheni hata nusu ya rambirambi za wahanga bukoba watu wanakufa njaa.ccm hamuoni hilo?


swissme
Rambirambi ni kwa ajili ya waliokufa siyo wazima.Labda kama unazungumzia maafa,hilo linaendelea kufanyiwa kazi na ofisi ya PM
 
Mkuu Magimbi kama mwenyekiti ameweza kuipasua Nec katikati basi hakuna litakalomshinda.Watoa rushwa ni wale waliokuwa wanaamini ktk "mtu" siyo chama,sasa siasa hizi za kiswahili Magufuli anazisambaratisha.Amini maneno yangu CCM inaenda kuzaliwa upya hizo changamoto za uchaguzi wa 2017 tayari kina HP wameanza kuzishughulikia.
sasa kma kweli kimebadilika (ingawa najua ni uongo tu) ina maana 2020 rushwa mtaacha so hta za pesa kuhonga wapigakura mtakosa naona mwisho wa ccm unakuja maana mlizoea kuhonga watu cjui kutoa tshirt na kofia ssa mkibanwa ina maana 2020 nini kitawabeba tena hasa huko vijijini ???
pili kma kuna mabadiliko kweli basi kiroho safi mngetimua wabunge wenu wote chamani maana wao kila kitu ni NDIO hta kma halina maslahi kwa mwananchi..... washaurini waweke uzalendo mbele sio matumbo mbele hta kma kweli chama chenu hakina nia njema na watanzania
 
kwani hao waliokufa hawana watoto na familia zao mwizi mkubwa wewe.


swissme
Kwahiyo wewe ni mwanafamilia unayesubiria rambirambi za marehemu au wewe ni "masalia" ya tetemeko unayetazamia serikali ikurekebishie miundombinu iliyoathirika?Au wewe ni MWIZI unayetaka kuvuna usipopanda?!!!!
 
Mkuu Magimbi kama mwenyekiti ameweza kuipasua Nec katikati basi hakuna litakalomshinda.Watoa rushwa ni wale waliokuwa wanaamini ktk "mtu" siyo chama,sasa siasa hizi za kiswahili Magufuli anazisambaratisha.Amini maneno yangu CCM inaenda kuzaliwa upya hizo changamoto za uchaguzi wa 2017 tayari kina HP wameanza kuzishughulikia.

Mbona sasa hajakemea wala kuwashtaki wabunge wa ccm waliokula rushwa kupitisha sheria ya huduma za habari??
Mbona ameacha ccm wamevuruga uchaguzi wa meya kinondoni mbona yupo kimya na mlifanya umafia wa wazi kabisa???
Tuanzie hapo kwanza
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom