maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
Wanajamvi kwa kasi hii ya kuuwawa wastani tembo watatu kwa siku(tembo zaidi ya elfu moja kwa mwaka) ni dhahiri hii serikali ya CCM ipo nyuma ya hili na hakuna mtu mwenye akili timam atakubali kwamba hii serikali haihusiki. Mbaya zaidi hii ni kwa ndovu zinazoonekana achilia mbali rasilimali zingine zinazoibwa bila sisi kujua,hivi unawezaje kuwa baba wa familia na bado ukawa unaiibia familia yako mwenyewe? Kwa kweli inatia uchungu sana na tuombe sana Mungu atusaidie kweli 2015 uwe mwisho wa wezi wote wa nchi hii... Kwa Mungu hakuna kitu kinashindikana