Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
mwaka ambao niliusubiri kwa hamu sana na
Nina sababu za kuusubiri, ni mwaka ambao
wanasiasa watageuka kuwa watumwa wetu kwa
muda na watatuomba kweli mwaka huh, sasa
watanzania wenzangu nikiwa na akili timamu
nimeona tuambiane mapema kabla ya iyo siku ya
kuwafurumisha hawa wachumia tumbo, wafuatao
hawapaswi kurudi bungeni hata iweje na kama una
Wa kuongeza wewe ongeza ila hawa wamekua
kero sana kwa watanzania wenzangu.....nianze na
Livingstone lusinde huyu ameamua kuamishia
comedy pale bungeni sasa tumsaidie kwa kumyima
kura akatafute kazi ze comedy huko
akachekeshe...nikumbushe tu jamaa alishawahi
kutoa matusi ya nguoni kule arumeru kwenye
kampeni ambazo naasari aloshinda, Wa pili ni
mwigulu lameck nchemba huyu jamaa anaongoza
kwa dharau nakumbuka alishawahi kutupa bajeti
kivuli ya upinzani na kuuita takataka pia ana
tuhuma lukuki za kuweka kura kwenye themosi
hapa siitaji kusema sana kwakua mnamjua huyu
msimpe kura.....nambari tatu ni mzee Wa vijisenti
huyu asipewe kura kwakua kila tuhuma yeye yumo
kuanzia richomnd , dowans, meremeta, escrow
jamani hata kama unasingiziwa this is too much
msimpe kura.....namba NNE ni Anna makinda huyu
asipate kura kwakua ni mpendeleaji awapo katika
kiti na ni mnafiki kwelikweli...namba tano ni Anna
tibaijuka huyu anajulikana hana uadilifu huwz
kupewa mabilioni burebure, mwingine ni mr lukuvi
huyu kura asipewe kabisa uyu kwakua ni mbishi
hata kwenye mambo ya wazi mfano kura ya siri na
wazi, mwingine mwandike hapa na wasifu wake
isiokubalika...
Nina sababu za kuusubiri, ni mwaka ambao
wanasiasa watageuka kuwa watumwa wetu kwa
muda na watatuomba kweli mwaka huh, sasa
watanzania wenzangu nikiwa na akili timamu
nimeona tuambiane mapema kabla ya iyo siku ya
kuwafurumisha hawa wachumia tumbo, wafuatao
hawapaswi kurudi bungeni hata iweje na kama una
Wa kuongeza wewe ongeza ila hawa wamekua
kero sana kwa watanzania wenzangu.....nianze na
Livingstone lusinde huyu ameamua kuamishia
comedy pale bungeni sasa tumsaidie kwa kumyima
kura akatafute kazi ze comedy huko
akachekeshe...nikumbushe tu jamaa alishawahi
kutoa matusi ya nguoni kule arumeru kwenye
kampeni ambazo naasari aloshinda, Wa pili ni
mwigulu lameck nchemba huyu jamaa anaongoza
kwa dharau nakumbuka alishawahi kutupa bajeti
kivuli ya upinzani na kuuita takataka pia ana
tuhuma lukuki za kuweka kura kwenye themosi
hapa siitaji kusema sana kwakua mnamjua huyu
msimpe kura.....nambari tatu ni mzee Wa vijisenti
huyu asipewe kura kwakua kila tuhuma yeye yumo
kuanzia richomnd , dowans, meremeta, escrow
jamani hata kama unasingiziwa this is too much
msimpe kura.....namba NNE ni Anna makinda huyu
asipate kura kwakua ni mpendeleaji awapo katika
kiti na ni mnafiki kwelikweli...namba tano ni Anna
tibaijuka huyu anajulikana hana uadilifu huwz
kupewa mabilioni burebure, mwingine ni mr lukuvi
huyu kura asipewe kabisa uyu kwakua ni mbishi
hata kwenye mambo ya wazi mfano kura ya siri na
wazi, mwingine mwandike hapa na wasifu wake
isiokubalika...