in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
kutokana na vipindi viwil kushikiliwa na ma rais kutoka bara imesababisha kukutetereka kwa muungano wetu sasa kipindi kijacho iwe zamu ya znz ili kuimarisha muungano na iendane na kutamkwa na katiba tunayotegemea kuundwa kabla 2014 kama alivyosema w/mkuu iwe zamu ya wa znz na wabara watoe m/rais tuunde katiba itakayotenda haki kwa pande zote mbili za muungano wetu, kwa hiyo wale wabara wanaoutaka urais wasubiri kadogo hadi 2025 ndiwe iwe zamu, tuchukue mfano wa visiwa vya comoro, mpo hapo??????............