Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
Tiago Splitter of the San Antonio Spurs goes to the basket against Chris Bosh of the Miami Heat during Game Two of the 2014 NBA Finals at the AT&T Center on June 8, 2014 in San Antonio.
mkuu umeona kazi hio?? home court advantage ishakwenda na maji!! now we have a series.........
..."Rajon".....mambo bado sana aisee.....Spur can still deliver at AA Arena....do not wash them out!......niko hapa Sunshine State kushuhudia game moja kabla sijaelekea Brazil.....kuona ufunguzi wa World Cup Soccer.....
mkuu umeona kazi hio?? home court advantage ishakwenda na maji!! now we have a series.........
Jamani hii gemu leo naona kipigo tu kwa Miami....wazee wameamua hawataki mathezo aisee. Tusubiri.
Jamani hii gemu leo naona kipigo tu kwa Miami....wazee wameamua hawataki mathezo aisee. Tusubiri.
...daah ni mapumziko sasa hivi....mambo si mazuri kwa Miami.....sidhani kama wanaweza ku-turn around hii gemu......
.....mambo ya South Beach....nilikuwa nategemea ku-party leo...baada ya gemu....daahh
.....mambo ya South Beach....nilikuwa nategemea ku-party leo...baada ya gemu....daahh
Ha Ha Ha imekula kwako leo
Ila usikate tamaa anything can happen lol