- Thread starter
- #21
Kazi ipo ile Coaster ni mwaka 1992 au 1994 si zaidi ya hapo! Gari ya mwaka 2007 sio hiyo na wala haziko hivyo!!!
Mkuu kama kweli hii ni model ya 1994 nadhani kutakua na typing error kwasababu kwenye kadi inaonyesha ni ya 2007
Kazi ipo ile Coaster ni mwaka 1992 au 1994 si zaidi ya hapo! Gari ya mwaka 2007 sio hiyo na wala haziko hivyo!!!
Ninayo Coaster kama hii,
Ukweli hua tuna peleka tarehe/mwaka mbele ili tuweze kupata usajili wa Sumatra kwani wanahitaji isiwe na miaka zaidi ya 10.
Inabidi mumuelewe muuzaji kua kuanika kitu kama hiking hadharani kisha aka-declare kwamba iko above 10years inamaanisha alifoji Sumatra so haijakaa poa kwake.
Ingawa kudanganya kwamba ni ya 2007 nayo haijakaa poa kwetu so conflicts of interest arise.
So nunua ukiujua ukweli huu!!
Hiyo ni Toyota coaster second generation, sasa hivi kuna third labda na kuendelea, hivyo second generation haiwezi kuwa ya 2007 ongea unavyotaka lakini mwisho siku huo mwaka sio wake!
Ninayo Coaster kama hii,
Ukweli hua tuna peleka tarehe/mwaka mbele ili tuweze kupata usajili wa Sumatra kwani wanahitaji isiwe na miaka zaidi ya 10.
Inabidi mumuelewe muuzaji kua kuanika kitu kama hiking hadharani kisha aka-declare kwamba iko above 10years inamaanisha alifoji Sumatra so haijakaa poa kwake.
Ingawa kudanganya kwamba ni ya 2007 nayo haijakaa poa kwetu so conflicts of interest arise.
So nunua ukiujua ukweli huu!!
Kwa gari zilizoko wanaziacha mpaka zife zenyewe, ila sasa kufa kwa DCM ni ngumu maana kuifumua na kuiunga upya ni rahisi kuanzia body mpaka injini, hivyo toka 19's zinadunda tu.na haya ma dcm wanayafanyaje sumatra wakati yanatengenezwa na mabati ya magate nanimagari yakizamani kwakweli uku kwetu atown akuna atakaepanda ata kwa bure dar masista du wanayarukia.wanachonga kadi au wanafanya jibu tafadhali
Hahaahha mkuu ingekua na tatizo ningesema kwa nini nifiche sasa?
...Kama mwaka tu umeficha sasa utashindwa vipi kuficha tatizo?...
Hiyo gari ni ya mwaka 1989 hamna kitu hapo kama kweli unauza kula ml 6 fasta acha porojo sisi tunayajua magari kuliko wewe unavyofikiri
Hilo basi haliwezi kuwa la mwaka 2007 angalia vizuri mwaka na urekebishe!
...Kama mwaka tu umeficha sasa utashindwa vipi kuficha tatizo?...