Mimi niloshindwa zamani za kale, ukiamka unatandika ukitoka kuoga unakaakitandani kucheki mails na Jf ukiamka unatandika tena,unaenda kuoga then breakfast unakaa bed kucheki movie ukimaliza unatandika tenaaaaaa!!!!!!!!!!
Mimi niloshindwa zamani za kale, ukiamka unatandika ukitoka kuoga unakaakitandani kucheki mails na Jf ukiamka unatandika tena,unaenda kuoga then breakfast unakaa bed kucheki movie ukimaliza unatandika tenaaaaaa!!!!!!!!!!
kama ulikuwepo mi toothpick,maganda ya chocolate ,box la juice sijui kopo la redbull yote kwenye bedside table..ngoma akirudi mamayeyoo sasa unasemwa kila ukitokea!!!!!!!!!
Nikiwaza nisitandike labda kwa sababu nimechelewa, hujikuta nashindwa kuondoka bila ya kutandika.... Haijalishi kuna atakayeingia zaidi yangu au la(hakuna)! Ni kweli tunahesabika maana nimeyaona hata kwa baadhi ya brother wangu.