Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Well, wanasema zamu hii ni ya wazenji, so...........
Kweli tupu. Ili kuongeza nguvu tutamsimamisha mgombea toka CCM B - Maalimu!
Well, wanasema zamu hii ni ya wazenji, so...........
Kwanza wote wababaishaji.Pili,wote wamejaa kejeli,matusi,sifa za kijinga na propaganda.Tatu,wote ni mafisadi. Nne,wote wana roho za kwanini.Tano,wote ni wachumia tumbo.Sita,wote si wakuwaamini. Saba,wote ni wasema uongo na fitina.Nane,wote walim-asi J.K.Nyerere.Tisa,wote ni watoa na wapokea rushwa.Kumi,wote ni watu wa makundi,wadini,wakabila na wapenda utengano.Na nini sijui...
1. Samwel Sitta
2.Edward Ngoyai Lowassa
3.Bernad Kamilius Membe
4. Dr.Asha-Rose Migiro
5.Dr.Harrison Mwakyembe
6.Andrew Chenge
7. Sofia Simba
8.Anne Kilango Malecela
9.Dr.John Pombe Magufuli
10.Prof.Sospeter Muhongo
11.Dr.Hussein Ali Hassan Mwinyi
12.Dr. Emmanuel Nchimbi
13.Ezekiel Maige
14.Mwigulu Nchemba
15.Mohamed Dewji
16.Job Lusinde
17.Nape Nnauye
18.Hussein Bashe
19.Juma Nkamia
20.William Lukuvi
Kati yao,mmoja atakuwa mgombea wa Urais 2015.Lazima. Yeyote haaminiki.
Umemsahau Bi Kiroboto. He is, oh no! Am sorry; I mean she is the right candidate for CCM 2015!