Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,169
Afadhali ya hizo amriKuepuka hayo,ni sawa na kutimiza amri kumi za mungu!
Afadhali ya hizo amriKuepuka hayo,ni sawa na kutimiza amri kumi za mungu!
Sodaaaa my disease kwa siku nakunywa hata saba
Hee!! List?Where is the list?
Taja umri ukipanda juu unashuka baada ya kiki ngapiSoda ctumii
Chips nadra sana
Mimi nimeepuka
Umesahau chumviChips kuku zimekaangwa na mafuta mengi..tomato nyingi kwa juu,soda pembeni..loh!
Mtoa mada hapa je?