huu ni upuuzi mkuu hapa sio sehemu yake haya mambo ya uraia wa BASHE yameongelewa sana hapa
tumia voucher zako kujenga nchi, ina maana hujui kama hiyo ilishakanushwa na waziri wa mambo ya ndani? au unataka tujadiri nini hapa?
MODS iungeni hii post na zile za BASHE tumechoka kujadili watu, au chit chat