Ni nature ya binaadamu kumtafuta Mungu wake. Huenda isiwe kila binaadamu ana nature hiyo lakini hata mmoja ukipata imani fulani juu ya Mungu anaweza kuwa influence wenzake. Sasa hao wa Rumi walimkubali Yesu kwa kuwa walikuwa wanahitaji kuamini Mungu na kuwa na some sort of faith and spiritual belief. Lakini by that time Real Jesus teachings were already faded away and they got contaminated with wrong beliefs. Hao watu wakapokea dini hivyo hivyo na matokeo yake imesambaa mpaka huku kwetu.Kabla hata huyo kristo hajaja duniani warumi walikuwepo mkuu wakiwa na imani yao isiyo ya kikristo,iweje leo waje kuwa wafuasi wa huyo kristo waliyemsulubu wao wenyewe huku wakijua kabisa,huoni kuwa inawezekana baadae waliujua ukweli na ndio maana wakamfuata kwa kuwa mfuasi wa yesu?
Kaka sio kila mtu kapotea. Tunajaribu kukupa akili ili utafute njia iliyokuwa sahihi mwenyewe. Kwani ifika hiyo siku ya siku itakuwa balaa kubwa mno.Watchout mkuu sisi wote ni binadamu anayejua nani yuko sahihi ni mungu pekee sisi tutapotezana.. Sasa iweje wewe binadamu kama binadamu wengine unathubutu kumnyooshea kidole binadamu mwenzako! Umejiangalia wewe umesimama wapi?
Je kama ni kweli hutataka raha za peponi?? Hayo ni maisha ya milele kaka. Usipoteze kwa ajili ya maisha haya mafupi mno na yasiyokuwa na furaha yoyote. Tafuta ukweli ndani ya imani yako. Na wala usione aibu.Eeeeeeeh kwahiyo ni kungonoka mwanzo mwisho.....kama ni kweli basi mtafaidi sana waislamu
Tutajuaje imeandaliwa na mpinga Kristo. Hebu tuache siye na imani zetu. Fuata imani yako. Kwa hili hatuhitaji ushauri wako[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Aliteswa msalabani, akafa, akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akawatokea wengi wao, baada ya hapo ndipo akapaa mbinguni.Sasa kama unakubali alipaishwa kwa Mungu basi hakuwa Crucified. Suala linakuja ni nani aliyekuwa Crufied badala yake??
Mimi nasoma Bible kuelewa na sio kupandikizwa fikra za wahubiri. Ni hivyo ninavyo soma Quran. Lakini panapo kuwa na jambo halipo sawa ni majukumu yetu kuambizana kwani sisi sote ni wana wa Adam. Hili sio suala la kukasirika.
Ni kweli ISLAM haikuwacha kitu, imekamilika kwa kila namna. Ndio maana sisi waislamu tupo confident na imani yetu. Uliza chochote utajibiwa kwa taaluma na vielelezo vya kila aina na utaelewa tu kwa sababu kila kitu kipo straight foraward. Hakuna kona kona. Ni dini pekee unayoweza pata Degree, Master, PHD na Professor. Elimu yake ni kama Bahari.Dini ambayo imewathamini hadi majini na kuwapa sura ya kitabu yaani Suratul jinn
Kuanzia ijumaa mpaka jpili ni siku 3???he was crusifised, he died and after 3 days risen among ded,
ALISULUBIWA
AKAFA
AKAZIKWA
SIKU YA 3 AKAFUFUKA kati ya WAFU..
HII NI AMINA NA KWELI.
Ambayo imechakachuliwa?
Kaka naomba usome statements nyingi nimezitoa katika thread kuhusiana na Crucifiction. Crucifiction ni uzushi uliandikwa na watu wasiojulikana kuwapotosha nyinyi. Vitabu vyote vyote Takatifu vinakana pamoja na Bible yenyewe. Lakini kuelewa hilo ni lazima ufumbue macho na moyo wako. Get outside the box and think.Aliteswa msalabani, akafa, akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akawatokea wengi wao, baada ya hapo ndipo akapaa mbinguni.
Anaogopa KUSILIMUkwanini sio....???
Ukweli utaupata kwenye Quran kama Yesu alivyokuambia;Inaonekana waliokuwa wanaandika injili kila mmoja alikuwa anaandika maoni yake.. Sasa yupi mkweli tumuamini
NDIYO...Kuanzia ijumaa mpaka jpili ni siku 3???
Ukweli utaupata kwenye Quran kama Yesu alivyokuambia;
John 16:7
Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.
John 15:26
Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.
Huyo msaidizi ni Mtume Muhammed(Rehma na amani zimfikie). Katika Biblia ya Hebrew ametajwa kwa Jina la Ahmed ambayo kwa kiarabu ni maana sawa na Mohammed. Sasa kama Yesu amekuambia umfuate Muhammed ndiyo mtume aliyekuja baada yake vipi wewe unasitasita? Inamaana haufuati maagizo ya Yesu. Utafute ukweli upate kujikomboa kiimani.
We endelea kujitekenya halafu unacheka mwenyewe,yesu hakusurubiwa upende au usipende huo ndio ukweli wenyeweAnt Christ spirit, 1 Joh.4:3
Unamkomoa nani?basi sawa, wao waiamini hiyo, sisi tutaiamini hii iliyopo
Kaka naomba usome statements nyingi nimezitoa katika thread kuhusiana na Crucifiction. Crucifiction ni uzushi uliandikwa na watu wasiojulikana kuwapotosha nyinyi. Vitabu vyote vyote Takatifu vinakana pamoja na Bible yenyewe. Lakini kuelewa hilo ni lazima ufumbue macho na moyo wako. Get outside the box and think.
Yesu alimuomba Mola wake amuokoe na kusulubiwa. Inamaama Mola wake hajampokelea dua yake?? Watu waliosulubiwa wamelaaniwa na Mungu, je Yesu kalaaniwa? Na kama Unafikiri kuwa Yesu anesulubiwa kwa dhambi zako basi soma;
Deuteronomy 24:16
Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.
Na Psalms 49: 7 - 8
7 Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake,Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,
8 (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama,Wala hana budi kuiacha hata milele😉
Hivyo Biblia inakwambia ni wazi kabisa kuwa Yesu kama unaamini kasulubiwa basi hakusulubiwa kufuta dhambi zako. Dhambi yako unazibeba wewe mwenyewe. Kulikuwa hakuna sababu ya Mungu kumwachia Mjumbe wake asulubiwe. Hivyo hakusulubiwa. Soma Statements zangu zingine katika hii thread utaona vizuri zaidi kuwa Yesu hakusulubiwa.
Ni kweli ISLAM haikuwacha kitu, imekamilika kwa kila namna. Ndio maana sisi waislamu tupo confident na imani yetu. Uliza chochote utajibiwa kwa taaluma na vielelezo vya kila aina na utaelewa tu kwa sababu kila kitu kipo straight foraward. Hakuna kona kona. Ni dini pekee unayoweza pata Degree, Master, PHD na Professor. Elimu yake ni kama Bahari.
Uongo mtupu acha kuchakachua neno la mungu.Ukweli utaupata kwenye Quran kama Yesu alivyokuambia;
John 16:7
Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.
John 15:26
Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.
Huyo msaidizi ni Mtume Muhammed(Rehma na amani zimfikie). Katika Biblia ya Hebrew ametajwa kwa Jina la Ahmed ambayo kwa kiarabu ni maana sawa na Mohammed. Sasa kama Yesu amekuambia umfuate Muhammed ndiyo mtume aliyekuja baada yake vipi wewe unasitasita? Inamaana haufuati maagizo ya Yesu. Utafute ukweli upate kujikomboa kiimani.
Inaonekana hukuelewa lugha niyokuandikia. Yalaiti ungeelewa usingesema hao uliyoyasema. Bilblia inakujibu vizuri tu lakini hutaki kuelewa. Biblia na vitabu vyote vya dini vimesema kuwa kila mtu atabeba dhambi zake. Iweje Yesu asulubiwe kwa dhambie zako?? Hayo maelezo na mantiki yake yore nimeyaeleza viziri. Labda nikutafsirie kiswahili.
Na kweli wajumbe wote wa mwenyezi Mungu walichinja wanyama kutoa Sacrifice kama waislamu tunavyochinja. Iweje Mungu aruhusu Yesu ateseke na kumwaga damu yake wakati Yesu alimuomba Mungu amuokoe na mateso hayo?? Inamaana duwa za Yesu zilikuwa hazikubaliki?? hayo yote nimekuelezea kwa mantiki nzuri. Mtafute mtu wa karibu akutafsirie.
Hapo ndipo munapochanganywa na hao walicompile hiyo Biblia. Wamebadilisha maana na kuongeza maneno yao kuwachanganya.
Kama Biblia imeshakuambia kuwa Yesu hajasulubiwa na ameenda kwa Mungu kwa hiyo huyo Yesu amekufaje hata afufuke??
Jambo la pili kutokana na mafundisho ya Wayahudi kusulubiwa ni Kulaaniwa, je kama kasulubiwa kama unavyoamini basi inamaanisha Yesu kalaaniwa?? Mbona munajichanganya bila kujielewa.
Deuteronomy 21:22-23
22 Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi wako.
Kweli munaaminishwa Mungu atamlaani Mjumbe wake? Na atamwacha Mjumbe wake aliyemtuma adhalilike?? Muna underestimate uwezo wa Mungu???