12-01-1964 Zanzibar !?

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Tarehe 12 January 1964 kulitokea tukio ambalo limeandikwa kuwa ni mapinduzi ya Zanzibar(Revolution).Nina mashaka yakuitwa mapinduzi badala ya kuitwa mageuzi ya Zanzibar.
Tukio hilo alifai kuitwa mapinduzi kabisa kwani mapinduzi ni kitukingine sana.Hakuna nchi ambayo ilifanya mapinduzi alafu ikabaki maskini.Tunayo mifano hapa Afrika kama Libya na Asia mfano China,N.Korea,October Revolution ya Soviet na Cuba name it.
Tangia tukio hilo Wazanzibar ni maskini tena wakutupwa kwani mapinduzi mantiki yake nikuleta maendeleo na mabadiriko kwa maisha ya mwanadamu.Naomba tutafakari hili kama kweli tukio hilo linapaswa kuitwa mapinduzi au mageuzi sura na kabila za uongozi.
 
Tarehe 12 January 1964 kulitokea tukio ambalo limeandikwa kuwa ni mapinduzi ya Zanzibar(Revolution).Nina mashaka yakuitwa mapinduzi badala ya kuitwa mageuzi ya Zanzibar.
Tukio hilo alifai kuitwa mapinduzi kabisa kwani mapinduzi ni kitukingine sana.Hakuna nchi ambayo ilifanya mapinduzi alafu ikabaki maskini.Tunayo mifano hapa Afrika kama Libya na Asia mfano China,N.Korea,October Revolution ya Soviet na Cuba name it.
Tangia tukio hilo Wazanzibar ni maskini tena wakutupwa kwani mapinduzi mantiki yake nikuleta maendeleo na mabadiriko kwa maisha ya mwanadamu.Naomba tutafakari hili kama kweli tukio hilo linapaswa kuitwa mapinduzi au mageuzi sura na kabila za uongozi.

Think well before posting your damn shit!!Ujui ata maada ya mapinduzi au shule ujaenda ?
 
Back
Top Bottom